Kuwa mnafiki na upende upigaji/udokozi, kama hutaki kupiga wakipiga kausha na jichanganye hata kama hupendi maana unaweza zushiwa kuwa unawachoma in case of any scandal na wakawa Wana ku skip kwenye fursa kumbe hujui..Watalamu Naomba mnisaidie kunipa elimu ya jinsi ya kuishi na watu maofisini.
Changamoto kwenye maofisi ni nyingi, naombeni muongozo.
Rudi kwenye job description ielewe vyema, pitia company policies then ishi humo, hapo si kwenu! Ishi kwa taratibu halali zilizopo.Watalamu Naomba mnisaidie kunipa elimu ya jinsi ya kuishi na watu maofisini.
Changamoto kwenye maofisi ni nyingi, naombeni muongozo.
Kazi hazitoenda ofisi itakuwa danguroWatembezee miti ofisi nzima.
Hii ni kweli...ni lazima ujifanye unapenda wizi kishenzi hapo mmepatanaKuwa mnafiki na upende upigaji kama hutaki kupiga wakioiga kausha na jichanganye hata kama hupendi maana unaweza zushiwa kuwa unawachoma in case of any scandal na wakawa Wana ku skip kwenye fursa kumbe hujui..
Nazungumza from experience.
📌Kuwa mnafiki na upende upigaji kama hutaki kupiga wakioiga kausha na jichanganye hata kama hupendi maana unaweza zushiwa kuwa unawachoma in case of any scandal na wakawa Wana ku skip kwenye fursa kumbe hujui..
Nazungumza from experience.
Watalamu Naomba mnisaidie kunipa elimu ya jinsi ya kuishi na watu maofisini.
Changamoto kwenye maofisi ni nyingi, naombeni muongozo.
Itakuwa Halimashauri huko, wengi wanatumia muda mwingi kulalamikiana.Watalamu Naomba mnisaidie kunipa elimu ya jinsi ya kuishi na watu maofisini.
Changamoto kwenye maofisi ni nyingi, naombeni muongozo.
Hapo kwenye wafanyakazi kuwa marafiki ndo pa muhimu...yaan wao kukuharibia ni dk moja1. Epuka mahusiano ya kimapenzi kazini
2. Wafanyakazi wenzako siyo lazima wawe marafiki zako. Hukuenda kutafuta marafiki bali kufanya kazi. Ikitokea umepata marafiki kazini, jenga mipaka yako.
3. Wafanyakazi wenzio sio wanaukoo wako, usiwashirikishe mambo yako binafsi.
4. Heshimu kila mtu bila kujali umri, uchumi, cheo na madaraka
5. Toa ushirikiano kwa wenzio kazini
6. Usikubali kuingia kwenye makundi kazini
7. Usifanye umbea na kuwasemea wenzako kwa wakubwa
8. Hata kama unafahamu jambo zaidi ya wengine, usijivune na kujiona Wewe ni bora kuliko wengine.
😆Watembezee miti ofisi nzima.