Mnazi bay gas to dsm what is the secret inside this issue

Sasa hapo unauliza nini?
umechambua hiyo habari umeona kuna tatizo?

au unataka tusome kilichomo ndani?



kwangu mimi cjaelewa vipimo hivi hapa chini labda kwa sababu sio expert wa haya mabo ya gas

''The Mnazi Bay concession partners have been asked to provide 80mmcf/d of gas upon completion of the pipeline and then to increase the supply amount to 200mmcf/d as soon as practicable.''

L
 
Sasa hapo unauliza nini?
umechambua hiyo habari umeona kuna tatizo?

L

Labda la msingi ni kwamba inaonyesha hawa jamaa hawana interest ya kutumia hii gas kuzalisha umeme, bali wanataka itumike kwenye petrochemical indusrty, pamoja na kuzalisha mbolea. Ukweli ni kwamba petrochemical industry huingiza hela nyingi zaidi ya kutumia gas kwa umeme, hivyo mwekezaji yeyote atapendelea gas itumike kwenye petrochemical industry, sio umeme.

Hata hivyo JK alishasema hapa juzi kwamba yeye piga ua hataki gas yetu iende kwenye petrochemical industry bali izalishe umeme. Songo Songo nayo ilipitia ubishi huu huu. Maoni yangu ni kwamba serikali inapaswa kufikiria yote mawili.

Ila sasa hapa ni suala la Wentworth Vs msimamo wa JK
 
Tunataka bei ipungue sana kwani kisingizio cha fedha za kigeni kutumika kuagiza mafuta hakipo sasa.Bei ipungue sana.
 
Labda la msingi ni kwamba inaonyesha hawa jamaa hawana interest ya kutumia hii gas kuzalisha umeme, bali wanataka itumike kwenye petrochemical indusrty, pamoja na kuzalisha mbolea. Ukweli ni kwamba petrochemical industry huingiza hela nyingi zaidi ya kutumia gas kwa umeme, hivyo mwekezaji yeyote atapendelea gas itumike kwenye petrochemical industry, sio umeme.
Sijaona sehemu ambayo WENTWORTH wameonesha hawana interest ya kuwauzia Tanesco gas kwa kuzalisha umeme.

Nilichoona ni kwamba Wentworth wamebariki utafiti wa Nexant kwamba hiyo petrochemical industry iwe inazalisha METHANOL na UREA kwa kuakisi mahitaji ya Tanzania na pia gharama ya uzalishaji wa hizo bidhaa ni rahisi.

Ningependa kujua ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa gas, je ujenzi wake umeshaanza au hizo dola 684 million mkopo toka
EXIM BANK zishaliwa na mafisadi?
 
Back
Top Bottom