Mnayemlalamikia ni marehemu ameondoka na ushahidi wote - Tujenge nchi yetu tusikubali kurudi nyuma

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,942
3,816
Ushahisdi umepotea msitafute kuwaonea wanyonge,aliepita alikuwa ni chuma cha puwa, ameondoka na ushaidi sasa makelele ya nini?

Yaani kama ni kupiga ndio ameshapiga, sasa mtafanya nini? Hata mkiwapeleka mahakamani waliokuwepo watamtupia lawama marehemu si mahakama si wahusika wote aliwaweka kwenye henga na akiwabadilisha pale tu anapoona interest inahatarishwa,tumeona akina CAG aliepita aliondolewa kimazabe ili kazi iendelee.

Sasa inaposemwa kazi iendelee haijulikani kazi ipi maana Bwana Yule alikuwa na kazi nyingi.

Niwatakeni watanzania kila zuri tulichukuwe na kuliweka sawa na mabaya yaachwe naye, kwa upande wangu najivunia kuwa tuna ndege za kisasa, tuna treni ya kisasa na pia miundo mbinu inayoelekea kuwa ya kisasa, hata hizi ndege tunaweza kufanya safari ya India Dubai China japo mara mbili kwa mwezi mbona itapendeza, tunaenda china mara mbili kwa mwezi, hivyo hivyo kwa India dubai na Thailand, kote huko ni mageti ya wafanya biashara, sio lazima ndege iwe na safari za kila siku. hata Italy kuna watalii wengi tu kutokea Italy wiki mara moja itapendeza na nauli iwe bei ya chini kabisa kuliko nauli za ndege za Ethiopia.

Wacheni kulalamika wakati shahidi namba moja hatunae tena na wala harudi mpaka kiyama!
 
Wanajuhudi wapinga maendeleo, wanashindwa kukubali kuwa Marehemu alitupigisha hatua moja mbele, na haswa hili la ndege kusema eti ziuzwe, basi na hata matreni yauzwe na kila kitu kiuzwe. Viongozi waupinzani tena wakuu, wanaponda na kutufanya kama Watanzania wote vipofu.

Hawa viongozi gani? basi wafunguwe mashitaka ijulikane kuliko kuanza tabia zao za kuita vipaza sauti na kubwabwaja mpaka wanatoka mapovu, viongozi ambao kwenye vyama vyama ni zaidi ya Wafalme hakuna wa kuwahoji wala kuwauliza, ni wao tu, nani asiejua kama wanaendesha vyama vyao kama miradi, mbona hawasemi, migogoro mingapi kwenye vyama vyao.

Kama wanaona aliepita ametafuna hela na hata kama ametafuna ni sawa lakini ametafuna na huku anaiinua Nchi, mwenye macho haambiwi tazama, alikuwa anakula na vipofu na ndio tukaona mapenzi mengi ya wananchi walala hoi wapo nae, na vilio vyao hakuna asievisikia.

Tuijenge nchi yetu na kuendeleza mazuri aliyoyaacha na ndio nikasema kama kuna mabaya tuyaache, mbona Sheni yupo hamumsemi na yeye ndio mhusika mkuu wa kuwafunga mashehe na yeye ndio dhamana ya wale kuwepo ndani hadi leo.

magufuli ameyafanya mambo ambayo Tanzania yeyote yule anaweza kuweka kifua chake mbele.
 
Ushahisdi umepotea msitafute kuwaonea wanyonge,aliepita alikuwa ni chuma cha puwa, ameondoka na ushaidi sasa makelele ya nini?

Yaani kama ni kupiga ndio ameshapiga, sasa mtafanya nini? Hata mkiwapeleka mahakamani waliokuwepo watamtupia lawama marehemu si mahakama si wahusika wote aliwaweka kwenye henga na akiwabadilisha pale tu anapoona interest inahatarishwa,tumeona akina CAG aliepita aliondolewa kimazabe ili kazi iendelee.

Sasa inaposemwa kazi iendelee haijulikani kazi ipi maana Bwana Yule alikuwa na kazi nyingi.

Niwatakeni watanzania kila zuri tulichukuwe na kuliweka sawa na mabaya yaachwe naye, kwa upande wangu najivunia kuwa tuna ndege za kisasa, tuna treni ya kisasa na pia miundo mbinu inayoelekea kuwa ya kisasa, hata hizi ndege tunaweza kufanya safari ya India Dubai China japo mara mbili kwa mwezi mbona itapendeza, tunaenda china mara mbili kwa mwezi, hivyo hivyo kwa India dubai na Thailand, kote huko ni mageti ya wafanya biashara, sio lazima ndege iwe na safari za kila siku. hata Italy kuna watalii wengi tu kutokea Italy wiki mara moja itapendeza na nauli iwe bei ya chini kabisa kuliko nauli za ndege za Ethiopia.

Wacheni kulalamika wakati shahidi namba moja hatunae tena na wala harudi mpaka kiyama!
Kaondoka na ushahidi wa nini?
Endeleeni kupaka rangi upepo!
 
Ushahisdi umepotea msitafute kuwaonea wanyonge,aliepita alikuwa ni chuma cha puwa, ameondoka na ushaidi sasa makelele ya nini?

Yaani kama ni kupiga ndio ameshapiga, sasa mtafanya nini? Hata mkiwapeleka mahakamani waliokuwepo watamtupia lawama marehemu si mahakama si wahusika wote aliwaweka kwenye henga na akiwabadilisha pale tu anapoona interest inahatarishwa,tumeona akina CAG aliepita aliondolewa kimazabe ili kazi iendelee.

Sasa inaposemwa kazi iendelee haijulikani kazi ipi maana Bwana Yule alikuwa na kazi nyingi.

Niwatakeni watanzania kila zuri tulichukuwe na kuliweka sawa na mabaya yaachwe naye, kwa upande wangu najivunia kuwa tuna ndege za kisasa, tuna treni ya kisasa na pia miundo mbinu inayoelekea kuwa ya kisasa, hata hizi ndege tunaweza kufanya safari ya India Dubai China japo mara mbili kwa mwezi mbona itapendeza, tunaenda china mara mbili kwa mwezi, hivyo hivyo kwa India dubai na Thailand, kote huko ni mageti ya wafanya biashara, sio lazima ndege iwe na safari za kila siku. hata Italy kuna watalii wengi tu kutokea Italy wiki mara moja itapendeza na nauli iwe bei ya chini kabisa kuliko nauli za ndege za Ethiopia.

Wacheni kulalamika wakati shahidi namba moja hatunae tena na wala harudi mpaka kiyama!
Never, never again such a president!
 
Back
Top Bottom