Alifahamika kama mwanamuziki (sijui shughuli yake siku hizi).
Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya. Imefikia hatua hata ya kujilinganisha naye kwa anavyonunua. Inasikitisha!
Sielewi anafaidikaje au anakitafuta nini katika mashindano hayo na hata siioni dalili yoyote ya ye kuibuka mshindi ikiwa upande wa pili nao utaamua kuingia katika bifu. Mbaya zaidi, kwa tabia yake hii anamharibia hata Harmonize ambaye ameonesha heshima kubwa kwa bosi wake huyo wa zamani kupitia nyimbo zake.
Mlio karibu msaidieni huyo kijana, ajikite kwenye issues zake. Kama ana hasira sana na anahitaji kutuliza akili basi mwambieni kuna 'Dodo' mtaani huko aende akaisikilize atarudiwa na busara.
Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya. Imefikia hatua hata ya kujilinganisha naye kwa anavyonunua. Inasikitisha!
Sielewi anafaidikaje au anakitafuta nini katika mashindano hayo na hata siioni dalili yoyote ya ye kuibuka mshindi ikiwa upande wa pili nao utaamua kuingia katika bifu. Mbaya zaidi, kwa tabia yake hii anamharibia hata Harmonize ambaye ameonesha heshima kubwa kwa bosi wake huyo wa zamani kupitia nyimbo zake.
Mlio karibu msaidieni huyo kijana, ajikite kwenye issues zake. Kama ana hasira sana na anahitaji kutuliza akili basi mwambieni kuna 'Dodo' mtaani huko aende akaisikilize atarudiwa na busara.