Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,758
- 10,604
Bao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanawaza shida zao zote, madeni na misiba yote ya watu wao wa karibu, inachelewesha bao kama hutaki ku-enjoy show.Wakuuu mko poaa
Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki.
...
labda yule mnyama wa majini anaitwa fina ndo anaweza piga 12. UsitudanganyeKupga bao hadi 12 mimi ishanitokea miaka 2 nyuma n kawaida.
Mm nshawahi piga 10 za mastabesheni nlianz na uwoya nkaja niki minaji nkaja n rihana, nkahamia aishwari alai daah! Wasiowah fkisha wabishe tu
usiwadanganye wenzako mkuu ni Chill iyo.Katafute hii upeleke moto kisawa sawa...unaweka vijitone kwenye zana za kazi...usipige ukelele tu ikianza kufanya kaziView attachment 1951329
Hivi bao mnazijua nyie! Labda kama unatoa bao la paka ndio yatafika 12! Ila kama goli la kujaza kijiko ukipiga 3 hamu imekata kabisa😅Hii inawezekana Mimi nlpokuwa form four nilishawahi kupiga 12
Bao za paka sawa! Yani kila dkk 2 unakojoa labda ila kwa wale Marathonic to the Pussy ni gumu ku sustain!Hizo bao 9 kwa usiku mmoja inawezekana Sana ila ndo dakika chache chache ila inawezekana vizuri tu
Saivi siwezi...nikijitahidi 5 mwisho ila kipindi Niko olevel nlkuwa Na ham kinoma Yani napiga Bao 7 ila Bado hamu ipo kama sija+ombana mwakaHivi bao mnazijua nyie! Labda kama unatoa bao la paka ndio yatafika 12! Ila kama goli la kujaza kijiko ukipiga 3 hamu imekata kabisa😅
Ili na ninyi mfike Everest hata mara 2Weekend ishaanza sasa ni mwendo wa mbususu na mikuyenge😂 dk 60 kwani unataka kuchimba dhahabu humo🤔
Mosi, wanaume wanatofautiana uwezo wa kuzuia mshindo hivyo si ajabu kusikia mwanaume katumia dk 60.
Pili, umri na afya ya mwanaume, ukiwa mtu wa mazoezi sana kuna uwezekano mkubwa ukawa pia na stamina ya muda mrefu kitandani.
Tatu, kama ilivyo kwa wanawake kwamba kuna style 'mkao' ambayo dk kadhaa tu anafika mshindo, ndivyo ilivyo hata kwa wanaume kuna style zinakufikisha haraka na zipo unaweza ukajikuta unafanya tuuu.
Nne, jinsi ambavyo unaingiza na kutoa uume wako kwenye uke, kumbuka kuwa kwa waliotahiriwa sehemu ya kichwa cha uume ipo sensitive zaidi kuliko sehemu yoyote. Kama utaingiza na kutoa uume wako kiasi kwamba kichwa chake kitakuwa kinagusa mlango wa uke katika kila mpigo, kuna chance kubwa ya kutumia muda mchache.
Yote hayo yakishindikana basi fanya foreplay muda mrefu ili kuepusha kufika mshindo kabla ya mkeo...principle ni hii katika kila mshindo mmoja wa mwanaume, mwanamke anatakiwa awe kafikia mishindo miwili..
Hii ndio hali halisi sasa, ila kukuongezea stamina unatakiwa ukilosikia linakuja chomoa mpige romance mbadilishe style ili kulipoteza na kulichelewesha goli utashangaa goli la pili unaenda mpaka dk 50Bao la pili ndo naweza enda hata dk 15, bao la tatu naenda nusu saa, bao la nne labda malaika ashuke.
Ukisikhliza stori za mtaani kuhusu performance utajisemea ni nani anayemaliza dawa za kuongeza nguvu za kiume wakati mwenye matatizo ni wewe peke yako?!