cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,595
- 137,335
wee cc una nin lakini lol.Weekend ishaanza sasa ni mwendo wa mbususu na mikuyenge dk 60 kwani unataka kuchimba dhahabu humo
wee cc una nin lakini lol.Weekend ishaanza sasa ni mwendo wa mbususu na mikuyenge dk 60 kwani unataka kuchimba dhahabu humo
Hizo bao 9 kwa usiku mmoja inawezekana Sana ila ndo dakika chache chache ila inawezekana vizuri tu
Kuna wanaume wanna nguvu sana, dakika 45-60 anafikisha ila ndo harudii na hapa ke kuimudu hii inatakiwa uwe na ute wa kutosha vinginevyo utakimbia chumba
Mmmmmh mbona ni kukomoana sasa lol.Sio kwamba wana nguvu sana, ni sayansi tu. Mimi leo nimechakata kuanzia saa sita mpaka saa tisa, hapo katikati tumepumzika kama 40 minutes wakati huo yeye 2 mimi 0. Mpaka mwisho wa gemu yeye 3 mimi 1.
Maelezo safi kabisaah,Mosi, wanaume wanatofautiana uwezo wa kuzuia mshindo hivyo si ajabu kusikia mwanaume katumia dk 60.
Pili, umri na afya ya mwanaume, ukiwa mtu wa mazoezi sana kuna uwezekano mkubwa ukawa pia na stamina ya muda mrefu kitandani.
Tatu, kama ilivyo kwa wanawake kwamba kuna style 'mkao' ambayo dk kadhaa tu anafika mshindo, ndivyo ilivyo hata kwa wanaume kuna style zinakufikisha haraka na zipo unaweza ukajikuta unafanya tuuu.
Nne, jinsi ambavyo unaingiza na kutoa uume wako kwenye uke, kumbuka kuwa kwa waliotahiriwa sehemu ya kichwa cha uume ipo sensitive zaidi kuliko sehemu yoyote. Kama utaingiza na kutoa uume wako kiasi kwamba kichwa chake kitakuwa kinagusa mlango wa uke katika kila mpigo, kuna chance kubwa ya kutumia muda mchache.
Yote hayo yakishindikana basi fanya foreplay muda mrefu ili kuepusha kufika mshindo kabla ya mkeo...principle ni hii katika kila mshindo mmoja wa mwanaume, mwanamke anatakiwa awe kafikia mishindo miwili..
Piga uwezo wako Aisee.
Utakojoa damu kwa story za vijiweni buraza.
Ni sahihi tunatofautiana nachosema ni kwamba ni watoto ndio wenye muda wa kupiga bao 12 ndani ya usiku mmoja.Ni ya kitoto sababu wewe huyawezi,, hatufanani mkuu Kama tunavyopishana kimuonekano na maumbile hata performance ya huko Ni hivyo
Nimevurugwa nisamehe tuwee cc una nin lakini lol.
Eti eeh, Basi sawa tusibishane saaana mkuuNi sahihi tunatofautiana nachosema ni kwamba ni watoto ndio wenye muda wa kupiga bao 12 ndani ya usiku mmoja.
Mwanaume hauwezi kupiga bao zote hizo ili ugundue nini? Utapoteza energy zako bure za kufanya shughuli nyingine.
Nimevurugwa nisamehe tu
Hapana mkuu, uzuri spidi inakua ya kawaida sio ile mikito kama ya kwenye muvi. Kwahiyo ni mwendo wa kusikilizia utam mpaka kisogoni..😊Mmmmmh mbona ni kukomoana sasa lol.
Duuuh... mkuu utadhani tuliambizana kabla ya ku post 😆😆
mbavu zangu mie uwiiiih,Hapana mkuu, uzuri spidi inakua ya kawaida sio ile mikito kama ya kwenye muvi. Kwahiyo ni mwendo wa kusikilizia utam mpaka kisogoni..
ili kukupa utamu vitu vinaunganishwa tuWeekend ishaanza sasa ni mwendo wa mbususu na mikuyenge dk 60 kwani unataka kuchimba dhahabu humo