Mnawezaje kuishi na wanawake wafanyakazi?

NUMAN

JF-Expert Member
Sep 3, 2019
614
831
Habari za asubuhi wadau. Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiri wazi kuwa mimi si mdau wa wanawake wafanyakazi kama madoctor, walimu, manurse etc. Mimi ni mdau wa housewife tu.

Kwasababu nilizaliwa na kulelewa hivyo na Mama yangu wa Nyumbani. Na nikaona ni maisha poa sana sababu ukirudi Home kutoka shule unamkuta Mama yupo anakupokea na chakula kipo ready unafurahia siku

Sasa mwezi uliopita nilikutana na mdada ambaye ni mfanyakazi. Taratibu akaanza kubadilisha fikra zangu na nikaona kumbe wafanyakazi wako poa kuliko housewives.

Ebwana eee nina mwezi hapa ila ninayoyaona ni kama nataka nikaishi motoni ni hatari sana mwanzoni nilianza kumuelewa ila sasa simuelewi kabisa

Unaweza kumpigia simu asipokee baadaye anakuambia eti alikuwa ananipima unajiuliza unapimwa vipi?

Mama wa nyumbani wako poa sana hawana maswali ya kijinga

Hivi wakuu mnawezaje kuishi na wanawake wafanyakazi?
 
Mimi nikiishi na mfanyakazi na akawa busy sana,kuvunja hiyo ndoa ni kufikia tu,nachofanyaga mimi pamoja na usomi wa mke wangu lakini atatumia shule yake kuendesha mambo ya familia nyumbani hasa watoto wetu,mimi napunguza muda wa kulala kipumbavu nakua busy sana na maarifa mengi kuhakikisha maisha yanastawi na ninakwenda vzr mpaka sasa.

Kuna majaribu sana ktk hilo sema kuna kundi la wanaume wavivu na wenye matumizi mabaya ktk mapato yao na wanaona bila kusaidiana na mke mambo ya kiuchumi yatachelewa, lakini uchumi halisi ktk familia tunapaswa kutengeneza sisi WANAUME
 
Mi nikiishi na mfanyakazi na akawa busy sana,kuvunja hiyo ndoa ni kufikia tu,nachofanyaga mimi pamoja na usomi wa mke wangu lakini atatumia shule yake kuendesha mambo ya familia nyumbani hasa watoto wetu,mimi napunguza muda wa kulala kipumbavu nakua busy sana na maarifa mengi kuhakikisha maisha yanastawi na ninakwenda vzr mpaka sasa. Kuna majaribu sana ktk hilo sema kuna kundi la wanaume wavivu na wenye matumizi mabaya ktk mapato yao na wanaona bila kusaidiana na mke mambo ya kiuchumi yatachelewa, lakini uchumi halisi ktk familia tunapaswa kutengeneza sisi WANAUME

Perfect mimi ni Mwanamke naunga hoja
 
Kiukweli hata mie ningekuwa wa kiume ningependa mke wangu awe available kwa ajili yangu na wanangu muda wote....yaaani housewife

Lakini nikirudi kwa upande wangu kama mwanamke inakuwa ngumu kidogo kwasababu nikifikiria mfano miaka saba yote nimesoma,sitarajii huo muda wote nije kuwa mama wa nyumbani tu....na kingine kuwa tegemezi sana sioni kama ni jambo zuri sana

Nafikiri hata hao wake wanaofanya kazi,kama wameamua kuingia katika ndoa/mahusiano ni suala la kubalance muda
 
Fikiri nje ya boksi, Je wewe una miadi na Mungu kwamba utaishi maisha marefu mpaka hapo wanao watakapo kuwa wanauwezo wa kujitegemea?.

Mimi binafsi siungi mkono hoja ya kuwa na housewife hata kama unamke hana ajira rasmi fanya juu chini awe na ajira isiyo rasmi lakini siyo kumweka nyumbani eti awe available kwa ajili yako tu na watoto wako.

Inatakiwa uwepo msingi ambao hata wewe ukiondoka duniani bado familia yako inaweza kusurvive.
 
Kiukweli hata mie ningekuwa wa kiume ningependa mke wangu awe available kwa ajili yangu na wanangu muda wote....yaaani housewife

Lakini nikirudi kwa upande wangu kama mwanamke inakuwa ngumu kidogo kwasababu nikifikiria mfano miaka saba yote nimesoma,sitarajii huo muda wote nije kuwa mama wa nyumbani tu....na kingine kuwa tegemezi sana sioni kama ni jambo zuri sana

Nafikiri hata hao wake wanaofanya kazi,kama wameamua kuingia katika ndoa/mahusiano ni suala la kubalance muda


Mwanamke kufanya kazi siyo mbaya no jambo zuri lakini by a saa 9-11 alasiri awe nyumbani na watoto na kuandaa chakula. Ukiwa na mwanamke wa hivyo utafurahia maisha ya ndoa.

Mimi na mke wangu tunafurahia sana maisha ya ndoa maana yeye kwa nature ya kazi yake saa 9-10 asili yupo nyumbani,na Mimi kwa nature ya kazi yangu in saa 2-3 usiku nipo nyumbani. Hatupati muda wa kukaa pamoja sana tukaboreka,wala yeye hakai nyumbani sana akaboreka.
 
Mwanamke kufanya kazi siyo mbaya no jambo zuri lakini by a saa 9-11 alasiri awe nyumbani na watoto na kuandaa chakula. Ukiwa na mwanamke wa hivyo utafurahia maisha ya ndoa.

Mimi na mke wangu tunafurahia sana maisha ya ndoa maana yeye kwa nature ya kazi yake saa 9-10 asili yupo nyumbani,na Mimi kwa nature ya kazi yangu in saa 2-3 usiku nipo nyumbani. Hatupati muda wa kukaa pamoja sana tukaboreka,wala yeye hakai nyumbani sana akaboreka.

Yaaaaas!mwisho wa siku mke anafanya kazi zake na anatimiza wajibu wake kama mama wa family

Na hata mambo mengine madogo madogo(financially) nafikiri mke atakuwa anamaliza
 
Tatizo syo wanawake wafanya kazi, soln ni kupata mke /mume wa chaguo lako unayempenda,
Anaweza kua housewife lakini most of the time yuko mtaa wa 2 kupiga umbea,
Kila mmoja ayatambue majukumu yake , hapo mtaishi kwa raha otherwise awe wa nyumban au ofisini km hajitambui bado ni shida tu,
 
Fikiri nje ya boksi, Je wewe una miadi na Mungu kwamba utaishi maisha marefu mpaka hapo wanao watakapo kuwa wanauwezo wa kujitegemea?.

Mimi binafsi siungi mkono hoja ya kuwa na housewife hata kama unamke hana ajira rasmi fanya juu chini awe na ajira isiyo rasmi lakini siyo kumweka nyumbani eti awe available kwa ajili yako tu na watoto wako.

Inatakiwa uwepo msingi ambao hata wewe ukiondoka duniani bado familia yako inaweza kusurvive.
100% true.....lazima kuwe na plan B ya maisha ya watoto incase mume ukiondoka duniani
 
Yaaaaas!mwisho wa siku mke anafanya kazi zake na anatimiza wajibu wake kama mama wa family

Na hata mambo mengine madogo madogo(financially) nafikiri mke atakuwa anamaliza

Yeah mambo madogo madogo yote anamaliza mwenyewe japo najua ni majukumu yangu lakini huruma ya mke kwa mume.
 
Hatukosagi sababu sisi, ushaichoka hiyoo na korona ikiisha si unaondoka
👇👇👇👇
1.muajiri wewe kwenye ile kampuni yako
2.mpe mtaji wake binafsi ili awe availabo muda wote
 
unajua inaweza kutokea uko kazini lakini mzee *rebeca* hayuko vizuri ukajisemea ngoja nikamlaze mzee rebeca... sasa ukifika mchana hayupo, nae yupo kazini inabidi uwe mpole na hapo wengi huishia kutafuta michepuko kitu ambacho sio kizuri
 
Nikwel
Mi nikiishi na mfanyakazi na akawa busy sana,kuvunja hiyo ndoa ni kufikia tu,nachofanyaga mimi pamoja na usomi wa mke wangu lakini atatumia shule yake kuendesha mambo ya familia nyumbani hasa watoto wetu,mimi napunguza muda wa kulala kipumbavu nakua busy sana na maarifa mengi kuhakikisha maisha yanastawi na ninakwenda vzr mpaka sasa.

Kuna majaribu sana ktk hilo sema kuna kundi la wanaume wavivu na wenye matumizi mabaya ktk mapato yao na wanaona bila kusaidiana na mke mambo ya kiuchumi yatachelewa, lakini uchumi halisi ktk familia tunapaswa kutengeneza sisi WANAUME
I kaka
 
Kuishi na mwanamke mfanyakazi ni kazi sana ....Mimi yamenishinda ukikaa bila kumpigia simu ni ugomvi mkubbwa sana...


Salute kwa wanaoweza me nimeshindwa
 
"Kuna mfanyakazi mwenzangu ni mzuri (ameshaolewa) sana kaumbika nammendea huu ni mwaka wa pili hana mda ataingia nyavuni. Juzi kati bado kidogo tu nimelete mate mlango wa ofisi ukagongwa" alisikika jamaaa mmoja akisema. Haya yapo sana jamani ofisini, ni rahisi sana kuliwa demu mfanya kazi tena sana.
 
Mimi nikiishi na mfanyakazi na akawa busy sana,kuvunja hiyo ndoa ni kufikia tu,nachofanyaga mimi pamoja na usomi wa mke wangu lakini atatumia shule yake kuendesha mambo ya familia nyumbani hasa watoto wetu,mimi napunguza muda wa kulala kipumbavu nakua busy sana na maarifa mengi kuhakikisha maisha yanastawi na ninakwenda vzr mpaka sasa.

Kuna majaribu sana ktk hilo sema kuna kundi la wanaume wavivu na wenye matumizi mabaya ktk mapato yao na wanaona bila kusaidiana na mke mambo ya kiuchumi yatachelewa, lakini uchumi halisi ktk familia tunapaswa kutengeneza sisi WANAUME
Ameen
 
Fikiri nje ya boksi, Je wewe una miadi na Mungu kwamba utaishi maisha marefu mpaka hapo wanao watakapo kuwa wanauwezo wa kujitegemea?.

Mimi binafsi siungi mkono hoja ya kuwa na housewife hata kama unamke hana ajira rasmi fanya juu chini awe na ajira isiyo rasmi lakini siyo kumweka nyumbani eti awe available kwa ajili yako tu na watoto wako.

Inatakiwa uwepo msingi ambao hata wewe ukiondoka duniani bado familia yako inaweza kusurvive.
Ukweli mtupu
 
Tatizo syo wanawake wafanya kazi, soln ni kupata mke /mume wa chaguo lako unayempenda,
Anaweza kua housewife lakini most of the time yuko mtaa wa 2 kupiga umbea,
Kila mmoja ayatambue majukumu yake , hapo mtaishi kwa raha otherwise awe wa nyumban au ofisini km hajitambui bado ni shida tu,
Hili ndio la muhimu, ukimpata chaguo lako na mkapendana vema hamna litakalokua gumu kwenu kufanyia maamuzi.
 
Back
Top Bottom