kityentyee
Member
- Mar 9, 2021
- 72
- 338
- Thread starter
- #21
Huyu wangu kanicheat sana ila sikuwahi kuona or kuhisi dalili zozote zile sasa sijui alikuaga ananipenda ila huko alikua anapelekwa na tamaa zake tu or sijui nini tu ,,, nimemvulia kofia aisee,,, laiti kams nisingejiongeza kumchunguza basi ningejikuta naolea maselaaa,,,, baada ya Mungu ogopa sana kiumbe anaitwa mwanamkeLazima utapunguza upendo sehemu moja!