Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,167
- 1,403
Wale wa2 wa hiphop si jina geni masikion mwenu jina la tamadun music. Ni familia ya kizazi kipya cha hiphop kikiwa na wasanii kama niki mbish,uno,sterio,songa, youngkiler. Vp kama mdau wa hpohp tanzania unawazungumziaje hawa jamaa ni real Mcs?