Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
Broda nimekuaminia hahahah
Hahaaaaaaaa,nilikuwa napend sana kusikiliza vipindi vya salamu (hasa kwa njia ya simu Radio One na RFA),hawa jamaa wana madoido sana wakati wanatuma salamu
Broda nimekuaminia hahahah
21. Ongeza..... Sura Mbili ( nimesahau jina la kwanza maana hii ni AKA - Huyo alikuwa akituma zile salam za kuunganisha anataja watu kama 10 kama salamu za kwanza, za pili watu kama 30..nk.. alikuwa ana kipaji cha kuongea kama cherehani!Pia walikuwepo wengine ambao ni maarufu sana Radio One na RFA
1.John Zenze
2.Ndilana Mwambi
3.Suleiman Rashid 'Mzee wa Dozi nene'
4.Marehemu Jangala Kilongosi wa Mbuguni Mererani
5.Jumanne 'JB' Ngilisho wa Arusha
6.Stephen Ishengoma
7.Bongo Experience
8.Juma Msurvivor
9.Teddy Big Mama
10.Manka Mushi
11.Bukavu Mwandinda
12.Papaa Osama wa Dodoma
13.Frank Malecela 'Mubosi' wa Kikuyu 5 Stars Dodoma
14.David Beckham Onana wa Dodoma
15.Dismas Chabela wa Chabela Camp Dodoma
16.Juhudi Mr Luvanda wa Tunduma Mbeya
17.Sita Tuma Kubanda 'Sita wa Sita' wa Mwanza
18.James Sinje wa Mbeya
19.Lajii Freedom wa Dodoma
20.Manase R. Muhaha 'Hambako'
Pia walikuwepo wengine ambao ni maarufu sana Radio One na RFA
1.John Zenze
2.Ndilana Mwambi
3.Suleiman Rashid 'Mzee wa Dozi nene'
4.Marehemu Jangala Kilongosi wa Mbuguni Mererani
5.Jumanne 'JB' Ngilisho wa Arusha
6.Stephen Ishengoma
7.Bongo Experience
8.Juma Msurvivor
9.Teddy Big Mama
10.Manka Mushi
11.Bukavu Mwandinda
12.Papaa Osama wa Dodoma
13.Frank Malecela 'Mubosi' wa Kikuyu 5 Stars Dodoma
14.David Beckham Onana wa Dodoma
15.Dismas Chabela wa Chabela Camp Dodoma
16.Juhudi Mr Luvanda wa Tunduma Mbeya
17.Sita Tuma Kubanda 'Sita wa Sita' wa Mwanza
18.James Sinje wa Mbeya
19.Lajii Freedom wa Dodoma
20.Manase R. Muhaha 'Hambako'
Umenikumbusha mbali sana..na hiyo ming'oko hasa ni nini maana sikupata kufahamu hasa walikuwa wanauza nini.
Wewe kiboko, nilitegemea nione jina lako kwenye kundi!
Duuh, mukiongelea RTD ya zamani mwanikumbusha mbali, enzi za watangazaji mahiri akina David Wakati, Jacob Tesha, Ngalawa, Alex Malumweme, Benjamin Kikoroma (aka Ben Kiko) etc na watuma salamu mahiri kama tunavyowajadili hapa. JF bwana, wewe acha tuuuuuuuuu!!!!!!
kwangu Zakaria Ndemfoo, huyu alikua kiboko ya woote kila ilipokua radio inakipindi cha salaam , kuanzia germany, KBC, kulikua na Radio moja idhaa ya Kiswahili kule South Africa, ilikua lazima aungurume kwa kishindo.
yupo Ngariba Jongo, Wajadi Fundi na Kunguru Mwoga ...sijui jina lake kamili.....oooh RTD ilikua kweli idhaa ya Taifa, woote tunaongea Lugha moja, jambo moja na hata furaha yetu ni moja.
oooh asante sana Batalanda, lakini usikivu wake ukoje, zamani ilikua inapatikana kupitia SW sasa sijui kama inapatikana kwenye frequence zipi...ila asante.Hii inaitwa Channel Africa,ipo mpaka leo
oooh asante sana Batalanda, lakini usikivu wake ukoje, zamani ilikua inapatikana kupitia SW sasa sijui kama inapatikana kwenye frequence zipi...ila asante.
umetengeneza siku yangu, Batalanda uko juu mzee.Mimi huwa nasikiliza kupitia Internet na si kwa Redio...Waweza isikiliza hapa http://www.channelafrica.org/portal...b3d7d8fceb4ceb4674daeb9/?CURRENT_LOCALE=es_CL