Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
From Michuzi:
1. Do! huyu jamaa amenikumbusha mabingwa wengine kama dereva abdallah mgeni wa RTC kibaha, Mnemo Bakari Mnemo, Nganda X Nganda wazamani Dua Wajaad fundi, Chivalavala A Chivalavala,Chasakata wa Chasakata, JFC Vigoron wa nampula msumbiji, Fundi viatu Juma Ramadhan Kamage Wa kata ya Puge nzega Tabora, Leonald Mwakambonje.
2. Zakaria Ndemfoo wa lake babati Salaam Club.
MAELEZO YANGU: Juma Ramadhani Kamage, ni school mate wangu Primary School. Alipomaliza shule ya Msingi Sikonge, alihamia Nzega na tangu hapo sijamuona tena zaidi ya baadaye kumsikia Redioni.
Kwa Sikonge tulikuwa na Mzee Faraji Miraji, fundi cherehani.
1. Do! huyu jamaa amenikumbusha mabingwa wengine kama dereva abdallah mgeni wa RTC kibaha, Mnemo Bakari Mnemo, Nganda X Nganda wazamani Dua Wajaad fundi, Chivalavala A Chivalavala,Chasakata wa Chasakata, JFC Vigoron wa nampula msumbiji, Fundi viatu Juma Ramadhan Kamage Wa kata ya Puge nzega Tabora, Leonald Mwakambonje.
2. Zakaria Ndemfoo wa lake babati Salaam Club.
MAELEZO YANGU: Juma Ramadhani Kamage, ni school mate wangu Primary School. Alipomaliza shule ya Msingi Sikonge, alihamia Nzega na tangu hapo sijamuona tena zaidi ya baadaye kumsikia Redioni.
Kwa Sikonge tulikuwa na Mzee Faraji Miraji, fundi cherehani.