Duuh!Enzi hizo life lilikuwa poa sana tofauti na siku hizi yaani tunalimia meno, vyuma navyo si mchezo halafu tunaishi kama mashetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakua ndio wale wazee wa dar es salaam/wanga wa jiji.Naomba kuwafahamu hao waliokaa kwenye viti
Enzi hizo life lilikuwa poa sana tofauti na siku hizi yaani tunalimia meno, vyuma navyo si mchezo halafu tunaishi kama mashetani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waasisi wa JamiiForumsHao waliokaa kwenye viti ni akina nani?
Ngoja jamaa anayeitwa Rubawa aje maan anawajua wote hao yeye ndio alikuwa Cameraman siku hiyo picha inapigwa.Naomba kuwafahamu hao waliokaa kwenye viti