Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
- Thread starter
- #21
Mim nlianzishaga Uzi wenye utata, comments ucku na mchana, ila mambo ya maana nimepuuzwa sana
kama una akili kweli lazima utapata njia ya kuiandika thread yako ivutie hadi wasio na akili....kama hujaweza basi hauna akili kama unavyojitanabaisha
Wengine wamepenypenya sasa ni top nchii hii, wakati kina mwandosya wanalima ndizi huko RungweInasikitisha sana sisi wenye akili tumekuwa tukitengwa na threads zetu wakati mwingine zinaondolewa au zinakosa wachangiaji.
Sababu wasio na akili ni wengi na wanashirikiana sana. Wanapeana supports kwa threads zao.sisi wenye akil tupo wachache na sometime hatupeani support sana sana tunakosoana sana.
Hali hii imesababisha sometime nami nitamani kuwa kama wale wasio na akili.nashindwa najitahidi hata kuiga kuanzisha threads zao lakini nashindwa.wao wana uzoefu mkubwa
Jamani msitutenge nasi pia tupo.hatukuomba kuumbwa na akili na kuwa na ufahamu wa juu.msituone kama si binadamu wenzenu.najua wapumbavuh ni wengi sana nchini kuliko wenye hekima. Ndo maana hata mtu mwenye akili kushinda ubunge au nafasi nyingine ya kisiasa ni ngumu sana.
Ila wale wengine wanashinda kirahisi sababu wapo wengi.wana wafuasi wengi sana.
Ahaaa kumbe nimejua kuwa ww ndio unaongoza kwa kutokuavna akili humu JFUshahidi ni wewe.
Ukitaka kufanikiwa nchi hii huwe hauna akili!!.....ukiwa na akili utawekewa vizingiti kila mahaliInasikitisha sana sisi wenye akili tumekuwa tukitengwa na threads zetu wakati mwingine zinaondolewa au zinakosa wachangiaji.
Sababu wasio na akili ni wengi na wanashirikiana sana. Wanapeana supports kwa threads zao.sisi wenye akil tupo wachache na sometime hatupeani support sana sana tunakosoana sana.
Hali hii imesababisha sometime nami nitamani kuwa kama wale wasio na akili.nashindwa najitahidi hata kuiga kuanzisha threads zao lakini nashindwa.wao wana uzoefu mkubwa
Jamani msitutenge nasi pia tupo.hatukuomba kuumbwa na akili na kuwa na ufahamu wa juu.msituone kama si binadamu wenzenu.najua wapumbavuh ni wengi sana nchini kuliko wenye hekima. Ndo maana hata mtu mwenye akili kushinda ubunge au nafasi nyingine ya kisiasa ni ngumu sana.
Ila wale wengine wanashinda kirahisi sababu wapo wengi.wana wafuasi wengi sana.
Pole boss
Hahaha hicho ndo kinanipa stimu Mkuu!hicho kiNywaji chako ninakiheshimu sana aisee
Kivipi?Kama hujaweza shawishi wengine kusoma nyuzi zako basi wewe ni empty kabisa
Hahaha hicho ndo kinanipa stimu Mkuu!
Ndo yangu na beer ishavunjikaga
Sentensi yako ipo katika hali gani? Samahani upeo wangu ni mdogo umeshindwa kung'amua kama ni kuthibitisha mwanzisha Uzi ana akili? Au ulikuwa unauuliza? Au ulikuwa unataka kukanusha lakini kwa namna ya kipekee?Na wewe una akili
Sentensi yako ipo katika hali gani? Samahani upeo wangu ni mdogo umeshindwa kung'amua kama ni kuthibitisha mwanzisha Uzi ana akili? Au ulikuwa unauuliza? Au ulikuwa unataka kukanusha lakini kwa namna ya kipekee?
Msaada tafadhali, kwa Mimi mwenye ufahamu mdogo.