Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Majengo ya CCM ni ya vyama vyote mwaka 1991 baada ya Tanzania kutangazwa ni Nchi ya mfumo wa vyama vingi ilipaswa majengo viwanja mali za CCM vigawanywe kwa vyama vyote, chadema haiwezi kujenga jengo jipya wakati inajua majengo ya CCM ni yao.