Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,863
- Thread starter
- #61
Ni wapuuzi kabisa! Pale uchumi utakapodhoofika kwa ufisadi,usimamizi mbaya wa rasilimali,ubadhirifu,ujangili na uzembe ndipo watakapopata akili! Baadhi ya watanzania wanadhani hii nchi ni kama Sweden,Uholanzi n.k kumbe hawajui bado ni nchi masikini inahitaji usimamizi mkubwa!
Uchumi udhoofike mara ngapi Boss??