Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,883
- Thread starter
- #21
Umeandika ujinga tu pumbav
Karibu
Umeandika ujinga tu pumbav
Kumbesiku ingine utumie akili yako kujibu maswali madogo yaliyopo kwenye kichwa chako ili kuepuka kujibiwa kwa kejeli na dharau
Kum
Kumbe
Mimi mbuzi zangu za ilyamchele kijijini kule wala huwa sizifokei mbona na huwa si mkali kwazoMNATAKA RAIS SAMIA AWE MKALI NA MBABE, MLIAMBIWA ANAONGOZA MBUZI?
Na, Robert Heriel
Kuna kundi la watu mtandaoni na mitaani wanapiga kelele na kumuona Rais Samia kuwa ni Mpole, wengine wanasema haongozi yeye bali anafuata maelekezo ya watu fulani. Kundi hilo linadai kuwa Mama Samia hafai kuwa Rais kwani kazidisha upole. Wao wanataka Rais mkali ambaye ndiye atawaongoza. Ni haki yao kutoa maoni yao vile waonavyo na jinsi wanavyofikiri kama vile na mimi nitakavyotoa maoni yangu hapa.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza watu na kuongoza Mbuzi. Hapa ndipo watu wanaposhindwa kuelewa.
Kuongoza mbuzi lazima uwe mwendawazimu kidogo kwa sababu mbuzi akili zao ni machepele. Wanakimbia kimbia huku na huku. Kuongoza Mbuzi lazima uwe mkali na uwe msema hovyo tena uwe na akiba ya matusi na sauti kubwa ya kuwakemea mbuzi. Kuongoza mbuzi lazima uwe na fimbo ya kuwachapa lakini kwa jinsi mbuzi ninavyowajua hata hiyo fimbo hutaweza kuwachapa kwani wanakimbia kimbia mno. Hivyo lazima uwe na fuko kubwa la mawe ambayo utawarushia hao mbuzi pale wanapoenda sehemu isiyo sahihi.
Kuongoa mbuzi hakuhitaji sheria wala katiba, kunahitaji utashi wa mchungaji. Yaani vile mchungaji atakavyoona ndivyo itavyokuwa.
Unaweza fungulia mbuzi saa nne asubuhi sawa, ukifungulia saa sita sawa, usipofungulia kabisa sawa, yaani mbuzi ni mbuzi tuu hata ukisema uwaletee majani hapohapo ni sawa tuu.
Mbuzi hata ukimpiga jiwe akavunjika mguu mbuzi wenzake wala hawatasema kitu, wataona ni sawa kabisa na ni haki yako kuwapiga kama sio kuwaua kabisa.
Rais anayeongoza watu wake kama Mbuzi, haoni ajabu kuwapiga watu wake, haoni shida kuwafunga kamba miguuni ili wasimkimbie, haoni shida kuwapiga mawe na kuwavunja miguu watu wake na kwa vile anawachukulia ni mbuzi hataki waseme wala wamlalamikie. Nao kwa vile ni mbuzi wanajiona ni halali yao kubondwa mawe, kufungwa kamba, na ikifika siku ya sikukuu kuchinjwa kama sio kuuzwa kwa bei nzuri au ya hasara.
Rais anayeongoza mbuzi lazima awe mkali kama kichaa, lazima awe msema hovyo na anayekimbia kimbia kukimbizana na mbuzi wasumbufu.
Sema kwenye uchungaji wa mbuzi kwa sisi tuliowahi kufuga, wale mbuzi wasumbufu ndio wanaoshiba vizuri na ndio wenye kuzaa sana kutokana na kushiba vizuri. Mbuzi hao ndio wenye akili. Kwani hawatosheki na malisho waliyopelekwa na bwana wao.
Hata kwenye nyumba, Baba anapokuwa mkali sana ni kwa sababu anawachukulia mke na watoto wake kama mbuzi wasio na akili.
Unakuwa mkali kupitiliza.
Ukali na ubabe vinatumika kwenye uchungi wa mbuzi hasa wale korofi ambao hawana akili za mwanadamu.
Rais Samia Suluhu anaongoza Watu, tena watu wenye akili zao.
Kuongoza watu hakuhitaji ukali na ubabe usio na maana, kunahitaji Hekima na busara.
Kuongoza watu kunahitaji katiba na sheria, sio utashi wa mtu jinsi aonavyo.
Kuongoza watu kunahitaji mfumo imara na sio mtu mmoja. Sio kama kuongoza mbuzi ambapo mtu mmoja anaweza kuongoza mbuzi hata elfu moja.
Kuongoza watu hakuhitaji kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Hakuhitaji kuwarushia watu mawe na kuwavunja miguu kama sio kuwachinja kabisa.
Kuongoza watu hakuhitaji kila kitu ufanye wewe bali unapaswa uwaachie wasaidizi wako nao wafanye.
Rais Samia anaongoza watu sio mbuzi.
Nafahamu familia zetu za kiafrika zimezoea na kulelewa kimbuzi mbuzi, unakuta Baba au Mama ni mkatili, mbabe na mshenzi kwa kisingizio cha malezi. Nafahamu familia za kiafrika wazazi wetu walikuwa na dhana kuwa Mtoto hana haki kwa sababu ni kama mbuzi tuu.
Huwezi ukalelewa kama mbuzi alafu ukawa na akili ya kibinadamu, huwezi ukalelewa kama mnyama alafu ukawa na utu.
Lazima nawe utakuwa na tabia za kinyama, ukatili na huna utu.
Sio ajabu kusikia mtu anampiga mke wake mpaka anamkata kata na mapanga. Sio ajabu kusikia mzazi anamchapa mtoto wake mpaka anamjeruhi. Ni kwa sababu halei mtu kwa utu, bali analea mtu kama mbuzi(mnyama)
Mnataka Mama awe mkali au mbabe kwani anaongoza mbuzi?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Dar es salaam
Sasa kuna tofaut gani kati ya mbuzi na watumishi wa tanesco wanaoharibu mtandao na wananchi kukosa huduma ya umeme kwa takribani siku 4?MNATAKA RAIS SAMIA AWE MKALI NA MBABE, MLIAMBIWA ANAONGOZA MBUZI?
Na, Robert Heriel
Kuna kundi la watu mtandaoni na mitaani wanapiga kelele na kumuona Rais Samia kuwa ni Mpole, wengine wanasema haongozi yeye bali anafuata maelekezo ya watu fulani. Kundi hilo linadai kuwa Mama Samia hafai kuwa Rais kwani kazidisha upole. Wao wanataka Rais mkali ambaye ndiye atawaongoza. Ni haki yao kutoa maoni yao vile waonavyo na jinsi wanavyofikiri kama vile na mimi nitakavyotoa maoni yangu hapa.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza watu na kuongoza Mbuzi. Hapa ndipo watu wanaposhindwa kuelewa.
Kuongoza mbuzi lazima uwe mwendawazimu kidogo kwa sababu mbuzi akili zao ni machepele. Wanakimbia kimbia huku na huku. Kuongoza Mbuzi lazima uwe mkali na uwe msema hovyo tena uwe na akiba ya matusi na sauti kubwa ya kuwakemea mbuzi. Kuongoza mbuzi lazima uwe na fimbo ya kuwachapa lakini kwa jinsi mbuzi ninavyowajua hata hiyo fimbo hutaweza kuwachapa kwani wanakimbia kimbia mno. Hivyo lazima uwe na fuko kubwa la mawe ambayo utawarushia hao mbuzi pale wanapoenda sehemu isiyo sahihi.
Kuongoa mbuzi hakuhitaji sheria wala katiba, kunahitaji utashi wa mchungaji. Yaani vile mchungaji atakavyoona ndivyo itavyokuwa.
Unaweza fungulia mbuzi saa nne asubuhi sawa, ukifungulia saa sita sawa, usipofungulia kabisa sawa, yaani mbuzi ni mbuzi tuu hata ukisema uwaletee majani hapohapo ni sawa tuu.
Mbuzi hata ukimpiga jiwe akavunjika mguu mbuzi wenzake wala hawatasema kitu, wataona ni sawa kabisa na ni haki yako kuwapiga kama sio kuwaua kabisa.
Rais anayeongoza watu wake kama Mbuzi, haoni ajabu kuwapiga watu wake, haoni shida kuwafunga kamba miguuni ili wasimkimbie, haoni shida kuwapiga mawe na kuwavunja miguu watu wake na kwa vile anawachukulia ni mbuzi hataki waseme wala wamlalamikie. Nao kwa vile ni mbuzi wanajiona ni halali yao kubondwa mawe, kufungwa kamba, na ikifika siku ya sikukuu kuchinjwa kama sio kuuzwa kwa bei nzuri au ya hasara.
Rais anayeongoza mbuzi lazima awe mkali kama kichaa, lazima awe msema hovyo na anayekimbia kimbia kukimbizana na mbuzi wasumbufu.
Sema kwenye uchungaji wa mbuzi kwa sisi tuliowahi kufuga, wale mbuzi wasumbufu ndio wanaoshiba vizuri na ndio wenye kuzaa sana kutokana na kushiba vizuri. Mbuzi hao ndio wenye akili. Kwani hawatosheki na malisho waliyopelekwa na bwana wao.
Hata kwenye nyumba, Baba anapokuwa mkali sana ni kwa sababu anawachukulia mke na watoto wake kama mbuzi wasio na akili.
Unakuwa mkali kupitiliza.
Ukali na ubabe vinatumika kwenye uchungi wa mbuzi hasa wale korofi ambao hawana akili za mwanadamu.
Rais Samia Suluhu anaongoza Watu, tena watu wenye akili zao.
Kuongoza watu hakuhitaji ukali na ubabe usio na maana, kunahitaji Hekima na busara.
Kuongoza watu kunahitaji katiba na sheria, sio utashi wa mtu jinsi aonavyo.
Kuongoza watu kunahitaji mfumo imara na sio mtu mmoja. Sio kama kuongoza mbuzi ambapo mtu mmoja anaweza kuongoza mbuzi hata elfu moja.
Kuongoza watu hakuhitaji kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Hakuhitaji kuwarushia watu mawe na kuwavunja miguu kama sio kuwachinja kabisa.
Kuongoza watu hakuhitaji kila kitu ufanye wewe bali unapaswa uwaachie wasaidizi wako nao wafanye.
Rais Samia anaongoza watu sio mbuzi.
Nafahamu familia zetu za kiafrika zimezoea na kulelewa kimbuzi mbuzi, unakuta Baba au Mama ni mkatili, mbabe na mshenzi kwa kisingizio cha malezi. Nafahamu familia za kiafrika wazazi wetu walikuwa na dhana kuwa Mtoto hana haki kwa sababu ni kama mbuzi tuu.
Huwezi ukalelewa kama mbuzi alafu ukawa na akili ya kibinadamu, huwezi ukalelewa kama mnyama alafu ukawa na utu.
Lazima nawe utakuwa na tabia za kinyama, ukatili na huna utu.
Sio ajabu kusikia mtu anampiga mke wake mpaka anamkata kata na mapanga. Sio ajabu kusikia mzazi anamchapa mtoto wake mpaka anamjeruhi. Ni kwa sababu halei mtu kwa utu, bali analea mtu kama mbuzi(mnyama)
Mnataka Mama awe mkali au mbabe kwani anaongoza mbuzi?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Dar es salaam
Katika hayo yote ina maana umeyaona hayo tu?Uwa unaweka namba za simu ili upigiwe na upewe uteuzi.Baada ya kujipendekeza kwa ,kuandika upupu.Nakushauri ,uendelee na kiajira chako hicho.Ukija huku utakufa mapema.Maana una majungu ya kipumbavu sana.
tafadhali usimlinganishe Nyerere na huyo jamaa yako - plse plse !!vyovyote itakavyokuwa tanzania tumeshakuwa na maraisi wakali (nyerere, jpm),
Hii ni insha (essay) kiwango cha shule ya upili. Mlinganisho wa nchi na mbuzi unaanzia wapi? Nchi ina systems ambazo hata ziwe bora vipi bila usimamizi madhubuti hufeli.MNATAKA RAIS SAMIA AWE MKALI NA MBABE, MLIAMBIWA ANAONGOZA MBUZI?
Na, Robert Heriel
Kuna kundi la watu mtandaoni na mitaani wanapiga kelele na kumuona Rais Samia kuwa ni Mpole, wengine wanasema haongozi yeye bali anafuata maelekezo ya watu fulani. Kundi hilo linadai kuwa Mama Samia hafai kuwa Rais kwani kazidisha upole. Wao wanataka Rais mkali ambaye ndiye atawaongoza. Ni haki yao kutoa maoni yao vile waonavyo na jinsi wanavyofikiri kama vile na mimi nitakavyotoa maoni yangu hapa.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza watu na kuongoza Mbuzi. Hapa ndipo watu wanaposhindwa kuelewa.
Kuongoza mbuzi lazima uwe mwendawazimu kidogo kwa sababu mbuzi akili zao ni machepele. Wanakimbia kimbia huku na huku. Kuongoza Mbuzi lazima uwe mkali na uwe msema hovyo tena uwe na akiba ya matusi na sauti kubwa ya kuwakemea mbuzi. Kuongoza mbuzi lazima uwe na fimbo ya kuwachapa lakini kwa jinsi mbuzi ninavyowajua hata hiyo fimbo hutaweza kuwachapa kwani wanakimbia kimbia mno. Hivyo lazima uwe na fuko kubwa la mawe ambayo utawarushia hao mbuzi pale wanapoenda sehemu isiyo sahihi.
Kuongoa mbuzi hakuhitaji sheria wala katiba, kunahitaji utashi wa mchungaji. Yaani vile mchungaji atakavyoona ndivyo itavyokuwa.
Unaweza fungulia mbuzi saa nne asubuhi sawa, ukifungulia saa sita sawa, usipofungulia kabisa sawa, yaani mbuzi ni mbuzi tuu hata ukisema uwaletee majani hapohapo ni sawa tuu.
Mbuzi hata ukimpiga jiwe akavunjika mguu mbuzi wenzake wala hawatasema kitu, wataona ni sawa kabisa na ni haki yako kuwapiga kama sio kuwaua kabisa.
Rais anayeongoza watu wake kama Mbuzi, haoni ajabu kuwapiga watu wake, haoni shida kuwafunga kamba miguuni ili wasimkimbie, haoni shida kuwapiga mawe na kuwavunja miguu watu wake na kwa vile anawachukulia ni mbuzi hataki waseme wala wamlalamikie. Nao kwa vile ni mbuzi wanajiona ni halali yao kubondwa mawe, kufungwa kamba, na ikifika siku ya sikukuu kuchinjwa kama sio kuuzwa kwa bei nzuri au ya hasara.
Rais anayeongoza mbuzi lazima awe mkali kama kichaa, lazima awe msema hovyo na anayekimbia kimbia kukimbizana na mbuzi wasumbufu.
Sema kwenye uchungaji wa mbuzi kwa sisi tuliowahi kufuga, wale mbuzi wasumbufu ndio wanaoshiba vizuri na ndio wenye kuzaa sana kutokana na kushiba vizuri. Mbuzi hao ndio wenye akili. Kwani hawatosheki na malisho waliyopelekwa na bwana wao.
Hata kwenye nyumba, Baba anapokuwa mkali sana ni kwa sababu anawachukulia mke na watoto wake kama mbuzi wasio na akili.
Unakuwa mkali kupitiliza.
Ukali na ubabe vinatumika kwenye uchungi wa mbuzi hasa wale korofi ambao hawana akili za mwanadamu.
Rais Samia Suluhu anaongoza Watu, tena watu wenye akili zao.
Kuongoza watu hakuhitaji ukali na ubabe usio na maana, kunahitaji Hekima na busara.
Kuongoza watu kunahitaji katiba na sheria, sio utashi wa mtu jinsi aonavyo.
Kuongoza watu kunahitaji mfumo imara na sio mtu mmoja. Sio kama kuongoza mbuzi ambapo mtu mmoja anaweza kuongoza mbuzi hata elfu moja.
Kuongoza watu hakuhitaji kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Hakuhitaji kuwarushia watu mawe na kuwavunja miguu kama sio kuwachinja kabisa.
Kuongoza watu hakuhitaji kila kitu ufanye wewe bali unapaswa uwaachie wasaidizi wako nao wafanye.
Rais Samia anaongoza watu sio mbuzi.
Nafahamu familia zetu za kiafrika zimezoea na kulelewa kimbuzi mbuzi, unakuta Baba au Mama ni mkatili, mbabe na mshenzi kwa kisingizio cha malezi. Nafahamu familia za kiafrika wazazi wetu walikuwa na dhana kuwa Mtoto hana haki kwa sababu ni kama mbuzi tuu.
Huwezi ukalelewa kama mbuzi alafu ukawa na akili ya kibinadamu, huwezi ukalelewa kama mnyama alafu ukawa na utu.
Lazima nawe utakuwa na tabia za kinyama, ukatili na huna utu.
Sio ajabu kusikia mtu anampiga mke wake mpaka anamkata kata na mapanga. Sio ajabu kusikia mzazi anamchapa mtoto wake mpaka anamjeruhi. Ni kwa sababu halei mtu kwa utu, bali analea mtu kama mbuzi(mnyama)
Mnataka Mama awe mkali au mbabe kwani anaongoza mbuzi?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Dar es salaam
Humjui tu,tafadhali usimlinganishe Nyerere na huyo jamaa yako - plse plse !!
Ila Mkapa alikuwa Raisi bora kabisa hapa TanzaniaVyovyote itakavyokuwa tanzania tumeshakuwa na maraisi wakali (nyerere, jpm), marasi wapole (mwinyi now samia+kikwete) na pia tumewahi kuwa na raisi mwenye sifa zote izo na mipango mingi (mkapa) na bado tulipigwa wote, tulikuwa duni, waliolalala njaa walikuwepo, waliouawa walikuwepo, na uchafu wote ulikuwepo. unachotakiwa kujua TZ ni kichwa cha mwendawazimu, kila anayekuja anakuja na mambo yake
Nguvu za jeshi...Mwendakuzimu na ndugai ni miongoni mwa watu wachache duniani waliobarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.
Hakika fasihi imetulia. Kongole kwako.MNATAKA RAIS SAMIA AWE MKALI NA MBABE, MLIAMBIWA ANAONGOZA MBUZI?
Na, Robert Heriel
Kuna kundi la watu mtandaoni na mitaani wanapiga kelele na kumuona Rais Samia kuwa ni Mpole, wengine wanasema haongozi yeye bali anafuata maelekezo ya watu fulani. Kundi hilo linadai kuwa Mama Samia hafai kuwa Rais kwani kazidisha upole. Wao wanataka Rais mkali ambaye ndiye atawaongoza. Ni haki yao kutoa maoni yao vile waonavyo na jinsi wanavyofikiri kama vile na mimi nitakavyotoa maoni yangu hapa.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza watu na kuongoza Mbuzi. Hapa ndipo watu wanaposhindwa kuelewa.
Kuongoza mbuzi lazima uwe mwendawazimu kidogo kwa sababu mbuzi akili zao ni machepele. Wanakimbia kimbia huku na huku. Kuongoza Mbuzi lazima uwe mkali na uwe msema hovyo tena uwe na akiba ya matusi na sauti kubwa ya kuwakemea mbuzi. Kuongoza mbuzi lazima uwe na fimbo ya kuwachapa lakini kwa jinsi mbuzi ninavyowajua hata hiyo fimbo hutaweza kuwachapa kwani wanakimbia kimbia mno. Hivyo lazima uwe na fuko kubwa la mawe ambayo utawarushia hao mbuzi pale wanapoenda sehemu isiyo sahihi.
Kuongoa mbuzi hakuhitaji sheria wala katiba, kunahitaji utashi wa mchungaji. Yaani vile mchungaji atakavyoona ndivyo itavyokuwa.
Unaweza fungulia mbuzi saa nne asubuhi sawa, ukifungulia saa sita sawa, usipofungulia kabisa sawa, yaani mbuzi ni mbuzi tuu hata ukisema uwaletee majani hapohapo ni sawa tuu.
Mbuzi hata ukimpiga jiwe akavunjika mguu mbuzi wenzake wala hawatasema kitu, wataona ni sawa kabisa na ni haki yako kuwapiga kama sio kuwaua kabisa.
Rais anayeongoza watu wake kama Mbuzi, haoni ajabu kuwapiga watu wake, haoni shida kuwafunga kamba miguuni ili wasimkimbie, haoni shida kuwapiga mawe na kuwavunja miguu watu wake na kwa vile anawachukulia ni mbuzi hataki waseme wala wamlalamikie. Nao kwa vile ni mbuzi wanajiona ni halali yao kubondwa mawe, kufungwa kamba, na ikifika siku ya sikukuu kuchinjwa kama sio kuuzwa kwa bei nzuri au ya hasara.
Rais anayeongoza mbuzi lazima awe mkali kama kichaa, lazima awe msema hovyo na anayekimbia kimbia kukimbizana na mbuzi wasumbufu.
Sema kwenye uchungaji wa mbuzi kwa sisi tuliowahi kufuga, wale mbuzi wasumbufu ndio wanaoshiba vizuri na ndio wenye kuzaa sana kutokana na kushiba vizuri. Mbuzi hao ndio wenye akili. Kwani hawatosheki na malisho waliyopelekwa na bwana wao.
Hata kwenye nyumba, Baba anapokuwa mkali sana ni kwa sababu anawachukulia mke na watoto wake kama mbuzi wasio na akili.
Unakuwa mkali kupitiliza.
Ukali na ubabe vinatumika kwenye uchungi wa mbuzi hasa wale korofi ambao hawana akili za mwanadamu.
Rais Samia Suluhu anaongoza Watu, tena watu wenye akili zao.
Kuongoza watu hakuhitaji ukali na ubabe usio na maana, kunahitaji Hekima na busara.
Kuongoza watu kunahitaji katiba na sheria, sio utashi wa mtu jinsi aonavyo.
Kuongoza watu kunahitaji mfumo imara na sio mtu mmoja. Sio kama kuongoza mbuzi ambapo mtu mmoja anaweza kuongoza mbuzi hata elfu moja.
Kuongoza watu hakuhitaji kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Hakuhitaji kuwarushia watu mawe na kuwavunja miguu kama sio kuwachinja kabisa.
Kuongoza watu hakuhitaji kila kitu ufanye wewe bali unapaswa uwaachie wasaidizi wako nao wafanye.
Rais Samia anaongoza watu sio mbuzi.
Nafahamu familia zetu za kiafrika zimezoea na kulelewa kimbuzi mbuzi, unakuta Baba au Mama ni mkatili, mbabe na mshenzi kwa kisingizio cha malezi. Nafahamu familia za kiafrika wazazi wetu walikuwa na dhana kuwa Mtoto hana haki kwa sababu ni kama mbuzi tuu.
Huwezi ukalelewa kama mbuzi alafu ukawa na akili ya kibinadamu, huwezi ukalelewa kama mnyama alafu ukawa na utu.
Lazima nawe utakuwa na tabia za kinyama, ukatili na huna utu.
Sio ajabu kusikia mtu anampiga mke wake mpaka anamkata kata na mapanga. Sio ajabu kusikia mzazi anamchapa mtoto wake mpaka anamjeruhi. Ni kwa sababu halei mtu kwa utu, bali analea mtu kama mbuzi (mnyama).
Mnataka Mama awe mkali au mbabe kwani anaongoza mbuzi?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Dar es salaam
Mwendakuzimu bibi yako vyeti feki wwMwendakuzimu na ndugai ni miongoni mwa watu wachache duniani waliobarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.
Na wewe pia ni miongoni mwa watu wachache wenye nguvu nyingi kuliko akili.Mwendakuzimu bibi yako vyeti feki ww
Ila vyeti feki mnateseka sana asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mungu ni mkali acheni tanzania ilikua inaenda kubaya bila ukali wa JPM sijui hali ingekuaje kunawatu muda wote ni wahanga hata uwatendee vizuri kiasi gani... Acheni ujinga mtoto mjinga ukimlea kwa kumbembeleza ayakufanya wewe kuwa extension... Mda wote anakutegemea.. Ukali wa JPM umeamsha wengi walio kua wamelala.. Mama anaturudisha kulala usingizi muda wote ni mtamu... Na mwizi huiba wakati umelala.. Acheni uvictm mentality...MNATAKA RAIS SAMIA AWE MKALI NA MBABE, MLIAMBIWA ANAONGOZA MBUZI?
Na, Robert Heriel
Kuna kundi la watu mtandaoni na mitaani wanapiga kelele na kumuona Rais Samia kuwa ni Mpole, wengine wanasema haongozi yeye bali anafuata maelekezo ya watu fulani. Kundi hilo linadai kuwa Mama Samia hafai kuwa Rais kwani kazidisha upole. Wao wanataka Rais mkali ambaye ndiye atawaongoza. Ni haki yao kutoa maoni yao vile waonavyo na jinsi wanavyofikiri kama vile na mimi nitakavyotoa maoni yangu hapa.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza watu na kuongoza Mbuzi. Hapa ndipo watu wanaposhindwa kuelewa.
Kuongoza mbuzi lazima uwe mwendawazimu kidogo kwa sababu mbuzi akili zao ni machepele. Wanakimbia kimbia huku na huku. Kuongoza Mbuzi lazima uwe mkali na uwe msema hovyo tena uwe na akiba ya matusi na sauti kubwa ya kuwakemea mbuzi. Kuongoza mbuzi lazima uwe na fimbo ya kuwachapa lakini kwa jinsi mbuzi ninavyowajua hata hiyo fimbo hutaweza kuwachapa kwani wanakimbia kimbia mno. Hivyo lazima uwe na fuko kubwa la mawe ambayo utawarushia hao mbuzi pale wanapoenda sehemu isiyo sahihi.
Kuongoa mbuzi hakuhitaji sheria wala katiba, kunahitaji utashi wa mchungaji. Yaani vile mchungaji atakavyoona ndivyo itavyokuwa.
Unaweza fungulia mbuzi saa nne asubuhi sawa, ukifungulia saa sita sawa, usipofungulia kabisa sawa, yaani mbuzi ni mbuzi tuu hata ukisema uwaletee majani hapohapo ni sawa tuu.
Mbuzi hata ukimpiga jiwe akavunjika mguu mbuzi wenzake wala hawatasema kitu, wataona ni sawa kabisa na ni haki yako kuwapiga kama sio kuwaua kabisa.
Rais anayeongoza watu wake kama Mbuzi, haoni ajabu kuwapiga watu wake, haoni shida kuwafunga kamba miguuni ili wasimkimbie, haoni shida kuwapiga mawe na kuwavunja miguu watu wake na kwa vile anawachukulia ni mbuzi hataki waseme wala wamlalamikie. Nao kwa vile ni mbuzi wanajiona ni halali yao kubondwa mawe, kufungwa kamba, na ikifika siku ya sikukuu kuchinjwa kama sio kuuzwa kwa bei nzuri au ya hasara.
Rais anayeongoza mbuzi lazima awe mkali kama kichaa, lazima awe msema hovyo na anayekimbia kimbia kukimbizana na mbuzi wasumbufu.
Sema kwenye uchungaji wa mbuzi kwa sisi tuliowahi kufuga, wale mbuzi wasumbufu ndio wanaoshiba vizuri na ndio wenye kuzaa sana kutokana na kushiba vizuri. Mbuzi hao ndio wenye akili. Kwani hawatosheki na malisho waliyopelekwa na bwana wao.
Hata kwenye nyumba, Baba anapokuwa mkali sana ni kwa sababu anawachukulia mke na watoto wake kama mbuzi wasio na akili.
Unakuwa mkali kupitiliza.
Ukali na ubabe vinatumika kwenye uchungi wa mbuzi hasa wale korofi ambao hawana akili za mwanadamu.
Rais Samia Suluhu anaongoza Watu, tena watu wenye akili zao.
Kuongoza watu hakuhitaji ukali na ubabe usio na maana, kunahitaji Hekima na busara.
Kuongoza watu kunahitaji katiba na sheria, sio utashi wa mtu jinsi aonavyo.
Kuongoza watu kunahitaji mfumo imara na sio mtu mmoja. Sio kama kuongoza mbuzi ambapo mtu mmoja anaweza kuongoza mbuzi hata elfu moja.
Kuongoza watu hakuhitaji kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Hakuhitaji kuwarushia watu mawe na kuwavunja miguu kama sio kuwachinja kabisa.
Kuongoza watu hakuhitaji kila kitu ufanye wewe bali unapaswa uwaachie wasaidizi wako nao wafanye.
Rais Samia anaongoza watu sio mbuzi.
Nafahamu familia zetu za kiafrika zimezoea na kulelewa kimbuzi mbuzi, unakuta Baba au Mama ni mkatili, mbabe na mshenzi kwa kisingizio cha malezi. Nafahamu familia za kiafrika wazazi wetu walikuwa na dhana kuwa Mtoto hana haki kwa sababu ni kama mbuzi tuu.
Huwezi ukalelewa kama mbuzi alafu ukawa na akili ya kibinadamu, huwezi ukalelewa kama mnyama alafu ukawa na utu.
Lazima nawe utakuwa na tabia za kinyama, ukatili na huna utu.
Sio ajabu kusikia mtu anampiga mke wake mpaka anamkata kata na mapanga. Sio ajabu kusikia mzazi anamchapa mtoto wake mpaka anamjeruhi. Ni kwa sababu halei mtu kwa utu, bali analea mtu kama mbuzi (mnyama).
Mnataka Mama awe mkali au mbabe kwani anaongoza mbuzi?
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Dar es salaam