Mnataka pesa au mnataka mapenzi,mbona hamweleweki?

Triple A

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
766
147
Naomba ufafanuzi juu ya hili,hivi nyie wanawake wa jf mnataka mapenzi au pesa,nashangaa hamueleweki.
 
basi amueni moja kama ni pesa usiulize mbona hukufika kileleni
 
Wenyewe watakwambia, mambo yao supa, lkn pia huku mtaani hatuwaoni sijui hawa wanawake wa jf wanakaa wapi? Maana kila mwanamke humu mambo yake si haba.
 
Hapa ni stori kula nyumbani kwenu...pata elimu,jifunze ila kusema utapata watu humu itakuwa ngumu....
 
we need both direct and indirect way

mapenzi direct mgegedo ukutane na papuchi

pesa lipia service like salon,vinywaji,usafiri,kununua nguo.
 
Mie nko kando hapa nasubiri niwaone wanavotoa majawabu,teh teh teh teh.....
 
cash rules thin..!mkuu ila mapenz na pesa ni mapacha wasiofanana..!be carefuly
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom