mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 819
- 1,320
Mnataka baba zetu waendelee kubet sio? Wahamie kabisa na mashuka na magodoro?
Hii nchi hii yaani kuna mtu yuko bungeni kimkakati kuhakikisha betting hata inafutiwa ushuru, mwingine yeye ahakikishe pombeee pombeee zinakaa pazuri shida za wananchi na kero zao acha wafie mbali.
Aiseee we are finished
Hii nchi hii yaani kuna mtu yuko bungeni kimkakati kuhakikisha betting hata inafutiwa ushuru, mwingine yeye ahakikishe pombeee pombeee zinakaa pazuri shida za wananchi na kero zao acha wafie mbali.
Aiseee we are finished