Mnashangaa Dk. Slaa kumkataa JK..?!

Aug 18, 2010
65
22
...Kwa kuwa ni kawaida ya binadamu kusahau; japokuwa si watu wote wanaosahau historia. Kumbukizi zinaonesha kwamba, Muafaka wa Zanzibar uliyopelekea kupatikana kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (Zanzibar) kulitokana na sintofahamu na songombingo za kisiasa baina ya CUF (Maalim Seif Sharif Hamad) na CCM (ya Komandoo Salmin Amour Jumaa) tangu mwaka 1995. Mwaka 2000, Pemba tulishuhudia mauwaji ya watu takriba 33 na wengine kukimbilia Shimoni-Mombasa, Kenya. Pamoja na hayo, tulishuhudia wawakilishi wa CUF wakisusia vikao vya Baraza la Wawakilishi kwa mara kadhaa kutokana na kadhia hiyo.
...Leo, kwa nini watu washangae Dk. Slaa kutomtambua Jakaya Kikwete? Kama ushindi aliyoupata JK haukuwa na "dosari" kubwa na ndogo kusingekuwa na haja ya Dk. Slaa kumkataa JK. Mbona hamshangai asilimia 73% ya wapigakura waliyojiandikisha kupiga kura kumkataa JK kwa (1) kutokumchagua na (2) kwa kutokupiga kura. Hata kura alizopata mwaka 2005, kama milioni 9.1, zimepungua hadi kufikia milioni 5.3 (hivi); na hili hamlioni? Au kama wasemavyo Waswahili, "NYANI HAONI NONGOLE?"
...Ipo haja ya kuona jinsi gani mtu mmoja na au chama (kikundi) cha watu wanaweza kumkataa mtu - hususan kwenye demokrasi ya watu - mtu kama hamkubali mtu, huo ni uhuru wake...na haijalishi anayekataliwa ni nani na au ana wadhifa gani! Kwa Dk. Slaa kumkataa JK ni haki; na ni haki yake - na ndiyo demokrasi. Bravo Doctor Slaa, revolution starts with cognitive ideas! ALUTA CONTINUA....
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.

Kama tunaelewa demokrasia basi alichosema Slaa ni sahihi kwani ndicho anachokijua na kukiamini na wapo wengi pia wanakubaliana naye.Swala lakupanga mikakati alishalisema hata kabla ya uchaguzi na amelirudia mara nyingi sana,kwamba atajikita katika kuimarisha chama na kuuelewesha umma mipango yao dhidi ya nchi hii kama mkakati wa kuchukua nchi 2005
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.

Ilikuwa vizuri ndugu yangu kabla hujacoment ungejifunza au kutaka kujua ni nini sababu ya Dr.Slaa kutomkubali Jk.
Kwa nini Dr.Slaa mwaka 2005 hakukataa ushindi wa Kikwete akatae mwaka huu?
Sio vizuri kuzungumzia jambo kiushabiki zaidi.
Yaani unadiriki kufananisha ushindi wa jk na goli la mkono ktk football halafu bado unashangaa kwa nini Dr. Slaa amemkataa JK.
Go back to school brother.
 
Kama tunaelewa demokrasia basi alichosema Slaa ni sahihi kwani ndicho anachokijua na kukiamini na wapo wengi pia wanakubaliana naye.Swala lakupanga mikakati alishalisema hata kabla ya uchaguzi na amelirudia mara nyingi sana,kwamba atajikita katika kuimarisha chama na kuuelewesha umma mipango yao dhidi ya nchi hii kama mkakati wa kuchukua nchi 2005

Sahihisho: ni 2015
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.

Fisadi anapo-comment.
 
Vipi na wabunge wanamkubali au Dr. Slaa peke yake? Bora na wabunge wangesusia bunge kukazia msimamo wa chama kuliko nusu kukubali na nusu kutokubali.
 
Vipi na wabunge wanamkubali au Dr. Slaa peke yake? Bora na wabunge wangesusia bunge kukazia msimamo wa chama kuliko nusu kukubali na nusu kutokubali.

Thinking yako ipo shallow sana na kabla hujaandika humu muulize mtu unachoandika kabla. Wabunge wamechaguliwa na wananchi ili wakapiganie na kutetea haki zao bungeni kwa hoja zenye mantiki. Watu wamelala vituoni kulinda kura zao halafu leo kirahisi tu wasihudhurie vikao?
 
wazo jepesi.

Hapan ni wazo zito na ndio kilichofanyika kule Zanzibar wawakilishi hakuhudhuria ufunguzi wa blw na vikao ili kuonyesha msisitizo wa kile walichokuwa wakikiamini! tofauti na chadema wamekimbilia kuwa kambi ya upinzani hii inaonyesha kuwa wapo kimaslahi zaidi kwa maana hakuna Bunge bila ya Rais na ndie mwenye mamlaka ya kulivunja na kusaini miswada.!
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.
sina uhakika na ubongo wako, kwa sababu ukiandikacho sio sawa na unachokiamini
 
Kichefuchefu.. unaongea mambo tofauti na thread iliyopo hapa
na haujui maana halisi ya demokrasia na haiwezekani raisi aliyechaguliwa na NEC aongoze wanannchi
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.

Umasikini wa mawazo!!!!
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni Rais wa JMT na Wabunge wa Chadema watafanya kazi chini ya JK kupitia serekali yao kivuli au watafanya na Slaa? Kuweni open minded wajameni msibishane na vitu ambavyo havihitaji degree kuving'amua.
 
unapoongea mwanme halisi unamaanisha nini? kuna wanamme wengine sio halisi?:smile-big::smile-big:
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.
 
...Kwa kuwa ni kawaida ya binadamu kusahau; japokuwa si watu wote wanaosahau historia. Kumbukizi zinaonesha kwamba, Muafaka wa Zanzibar uliyopelekea kupatikana kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (Zanzibar) kulitokana na sintofahamu na songombingo za kisiasa baina ya CUF (Maalim Seif Sharif Hamad) na CCM (ya Komandoo Salmin Amour Jumaa) tangu mwaka 1995. Mwaka 2000, Pemba tulishuhudia mauwaji ya watu takriba 33 na wengine kukimbilia Shimoni-Mombasa, Kenya. Pamoja na hayo, tulishuhudia wawakilishi wa CUF wakisusia vikao vya Baraza la Wawakilishi kwa mara kadhaa kutokana na kadhia hiyo.
...Leo, kwa nini watu washangae Dk. Slaa kutomtambua Jakaya Kikwete? Kama ushindi aliyoupata JK haukuwa na "dosari" kubwa na ndogo kusingekuwa na haja ya Dk. Slaa kumkataa JK. Mbona hamshangai asilimia 73% ya wapigakura waliyojiandikisha kupiga kura kumkataa JK kwa (1) kutokumchagua na (2) kwa kutokupiga kura. Hata kura alizopata mwaka 2005, kama milioni 9.1, zimepungua hadi kufikia milioni 5.3 (hivi); na hili hamlioni? Au kama wasemavyo Waswahili, "NYANI HAONI NONGOLE?"
...Ipo haja ya kuona jinsi gani mtu mmoja na au chama (kikundi) cha watu wanaweza kumkataa mtu - hususan kwenye demokrasi ya watu - mtu kama hamkubali mtu, huo ni uhuru wake...na haijalishi anayekataliwa ni nani na au ana wadhifa gani! Kwa Dk. Slaa kumkataa JK ni haki; na ni haki yake - na ndiyo demokrasi. Bravo Doctor Slaa, revolution starts with cognitive ideas! ALUTA CONTINUA....


JK hajakataliwa na Dr Slaa kama individual bali ni wananchi walioibiwa kura ndiyo wanaomkataa JK.
 
...Kwa kuwa ni kawaida ya binadamu kusahau; japokuwa si watu wote wanaosahau historia. Kumbukizi zinaonesha kwamba, Muafaka wa Zanzibar uliyopelekea kupatikana kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (Zanzibar) kulitokana na sintofahamu na songombingo za kisiasa baina ya CUF (Maalim Seif Sharif Hamad) na CCM (ya Komandoo Salmin Amour Jumaa) tangu mwaka 1995. Mwaka 2000, Pemba tulishuhudia mauwaji ya watu takriba 33 na wengine kukimbilia Shimoni-Mombasa, Kenya. Pamoja na hayo, tulishuhudia wawakilishi wa CUF wakisusia vikao vya Baraza la Wawakilishi kwa mara kadhaa kutokana na kadhia hiyo.
...Leo, kwa nini watu washangae Dk. Slaa kutomtambua Jakaya Kikwete? Kama ushindi aliyoupata JK haukuwa na "dosari" kubwa na ndogo kusingekuwa na haja ya Dk. Slaa kumkataa JK. Mbona hamshangai asilimia 73% ya wapigakura waliyojiandikisha kupiga kura kumkataa JK kwa (1) kutokumchagua na (2) kwa kutokupiga kura. Hata kura alizopata mwaka 2005, kama milioni 9.1, zimepungua hadi kufikia milioni 5.3 (hivi); na hili hamlioni? Au kama wasemavyo Waswahili, "NYANI HAONI NONGOLE?"
...Ipo haja ya kuona jinsi gani mtu mmoja na au chama (kikundi) cha watu wanaweza kumkataa mtu - hususan kwenye demokrasi ya watu - mtu kama hamkubali mtu, huo ni uhuru wake...na haijalishi anayekataliwa ni nani na au ana wadhifa gani! Kwa Dk. Slaa kumkataa JK ni haki; na ni haki yake - na ndiyo demokrasi. Bravo Doctor Slaa, revolution starts with cognitive ideas! ALUTA CONTINUA....

Between the two evils choose the lesser one. Dr Slaa angekubali matokeo ama kumkubali Raisi angewakatisha sana tamaa washabiki wake. Hapa anataka kugain people sympathy kuonesha kwamba Ikifika mwaka 2015 atakuwa anadai "mwaka 2010 tulionewa kwani tulishinda, mwaka huu hatukubali". Hiyo itawafanya wananchi wamwonee huruma. Dr Slaa anajua siasa, Ila tu CCM pia tayari wapo makini na kaktika vikao vyao wameshapanga 2015 itakuwa ni kulinda kura na sio kuchakachua. Mchezo utakuwa mtamu!
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni Rais wa JMT na Wabunge wa Chadema watafanya kazi chini ya JK kupitia serekali yao kivuli au watafanya na Slaa? Kuweni open minded wajameni msibishane na vitu ambavyo havihitaji degree kuving'amua.
.....watafanya na Slaa eventually.
Alichofanya jana Dr Slaa ni mwanzo tu wa kufikia huko....mwanzo wa ngoma ni lele!
So Dr Slaa is on the right track!
 
Vipi na wabunge wanamkubali au Dr. Slaa peke yake? Bora na wabunge wangesusia bunge kukazia msimamo wa chama kuliko nusu kukubali na nusu kutokubali.

Kama wako serious basi wasusie Bunge na posho za vikao wasamehe na hata mishahara ile minono wasichukue. Hiyo ni sacrifice ya kutosha kuwapatia nchi fika 2015
 
Amkatae, amkubali, alie, acheke, ajinyonge - bado JK ni rais aliyeapishwa. Sasa kumkataa JK unadhani kunamsaidia nini kama si kujitia majonzi tu. Mwanaume wa kweli anatulia na kujipanga upya kwa kuandaa mikakati kwa ajili ya 2015. Tujikumbushe huko Zanzibar, Maalim Seif alikataa kuitambua serikali na rais wake, kwani mambo yalisimama ?? Rais si aliendelea hadi uchaguzi uliofuata.

Thiery Henry alifunga goli kwa mpira wa mkono, refa akalikubali goli japo vyombo vya elektroniki baadaye vilionyesha kuwa lilikuwa goli la mkono, je lilifutwa ?? Nasema, na narudia kusema kuwa mwanaume halisi hutulia na kujipanga upya si hili la kutoa tamko la kutoutambua ushindi. Haimsaidii kitu.

wee lazima ni nyumba ndogo ya jeikei uwe mdume au mdemu..i mean utakuwa mwehu tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom