Waungwana bila shaka mko poa.
Kadri siku zinavyoyoyoma na kampeni kuendelea, baadhi ya wagombea wanatoa ahadi ambazo ukiziangalia kwa akili ya haraka tu unaona wazi kuwa ni uongo, na hazitekelezeki. Wanaodanganyika na kushangilia ni kwamba wamelogwa au hizo kofia na T-shirt? Naomba maoni yenu wadau.
Kadri siku zinavyoyoyoma na kampeni kuendelea, baadhi ya wagombea wanatoa ahadi ambazo ukiziangalia kwa akili ya haraka tu unaona wazi kuwa ni uongo, na hazitekelezeki. Wanaodanganyika na kushangilia ni kwamba wamelogwa au hizo kofia na T-shirt? Naomba maoni yenu wadau.