Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Samahanini sana sana sana kwa kulipua hili mada mbele yenu, lakini lengo langu si kuchafua mioyo yenu na ubongo wenu, lengo kujua kitakachotokea huko mbele nchini juu ya Dr. W. Slaa(PhD).
Swali:
Si mnakumbuka JK tulivomwamini kipindi kile 2005, tukamchagua kwa mbwembwe nyiiiingi hadi akaibuka kwa ushindi wa zaidi ya 80% (asilimia themanini), akiwa madarakani tumeshuhudia vituko vyake vyooooote hadi akapoteza uaminifu kwa wananchi wake, vituko kama vile kuwateua maswahiba zake, kutowachukua hatua za kisheria baadhi ya mafisadi na mengineyo mengi. Vyote hivyo vimempelekea kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu.
Sasa tuje kwa Dr. Slaa, tumempigia KURA nyingi hapo jana, akitangazwa kuwa mshindi, je, akiwa madarakani, akifanya madudu yoyote yatakayofanana na ya Mkwere, ninyi kama wananchi mnachukuliaje?? Maana yule naye ni binadamu.
Samahanini lakini kwa any inconvenience!!
Mapinduzi Daima...
Swali:
Si mnakumbuka JK tulivomwamini kipindi kile 2005, tukamchagua kwa mbwembwe nyiiiingi hadi akaibuka kwa ushindi wa zaidi ya 80% (asilimia themanini), akiwa madarakani tumeshuhudia vituko vyake vyooooote hadi akapoteza uaminifu kwa wananchi wake, vituko kama vile kuwateua maswahiba zake, kutowachukua hatua za kisheria baadhi ya mafisadi na mengineyo mengi. Vyote hivyo vimempelekea kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu.
Sasa tuje kwa Dr. Slaa, tumempigia KURA nyingi hapo jana, akitangazwa kuwa mshindi, je, akiwa madarakani, akifanya madudu yoyote yatakayofanana na ya Mkwere, ninyi kama wananchi mnachukuliaje?? Maana yule naye ni binadamu.
Samahanini lakini kwa any inconvenience!!
Mapinduzi Daima...