Mnasemaje kuhusu Black Community ina watu wepesi kushawishika zaidi ya wengine

Bado huja ni convince kuwa mtu mweusi ni rahisi kushawishika!
Toka katika hiyo defensive corner uliyowekwa kutokana na kauli zako mwenyewe uje utetee hoja yako kuwa watu weusi ni rahisi kushawishika.
kweli huelewi usemalo,hapa ninalujibu mada iliyo nje ya thread km ulivyoleta.Na mada yangu si kukuconvice wewe, ila ni kuacha watu wai discuss.UNACHOONGEA KINAONYESHA UMEPOTEA NJIA<AU NI WALE WALIOMEZESHWA VITU SASA WANABWATUKA KILA MAHALI VINAPOKATAA WANAANZA PANDISHA HASIRA
 
kweli huelewi usemalo,hapa ninalujibu mada iliyo nje ya thread km ulivyoleta.Na mada yangu si kukuconvice wewe,ila ni kuacha watu wai discuss.
Sijui mnafundishwa vitu gani huko kwenye Mahavard Universities! lakini mtu anaposema hujani convince au hujani ...katika public forum kama hii huwa anamaanisha kuwakilisha wale walio na mtazamo kama wa kwake ! ....ninamaanisha si peke yake!
 
Sijui mnafundishwa vitu gani huko kwenye Mahavard Universities! lakini mtu anaposema hujani convince au hujani ...katika public forum kama hii huwa anamaanisha kuwakilisha wale walio na mtazamo kama wa kwake ! ....ninamaanisha si peke yake!
Usipende Boost self esteem hapa kwa kutaja Harvads.Acha vyuo vya watu (90% wanakuwa self made milionaires,whether ni drop out or gradutes,10% wanaokuwa looser ni wale type ya waarabu wanaopewa nafasi ili baba zao watoe nchi bure)

Majibu yangu hapa ni kujibu misconceptions zako za kuingiza dini(space tuliyopetza ni kukutaka uondoe dini yako ktk hii domain) na pia si kutaka kuku convice.Si lazima nifanye hivyo ili fact iwe fact.After row elimu yako ipo too polarized and irrational for you to grasp anything.Unatafuta coverup ya dini ili uanze poteza muda au chokoza watu.


By the way soma hii thread (.....Mnasemaje kuhusu Black Community ina watu wepesi kushawishika zaidi ya wengine

.)
Halfu uniambie kuingiza dini(foreign) ni kupinga black kutoshawishika au ni kusupport? halafu uniambie mimi kuondoa issue ya dini nimekosea wapi?sijui nani unamwakilisha hapa.Unataka niku konvice kipi kati ya hivi?

1. Kuwa unadhibitisha thread?
2. kuwa wewe upo irrational and brainwashed.
3. Umekosea njia na bora ungeanzisha thread ya dini ukutane na wenye nia hiyo.
Iam afraid utakuwa ni wale watu waliosoma na kuamini hadith kuwa Mkwawa alikuwa shujaa,bila kuuliza historia yake na uuzaji wa watumwa, tazama leo wahehe ngoma zao wanavaa nini km mavazi ya jadi...Un mengi ya kuangalia ktk historia yako , elimu yako, vitabu unavyovisoma, redio unayosikiliza,tv unazoziangalia, na jinsi unangaalia yote ktk mtazamo tofauti.Kisha ubalance mwenyewe.Otherwise utasumbua watu tuu,wakikusubiri upevuke na kukufundisha mahali pa kujadili.wengine sisi si wazuri kufundisha.
 
Bado huja ni convince kuwa mtu mweusi ni rahisi kushawishika!
Toka katika hiyo defensive corner uliyowekwa kutokana na kauli zako mwenyewe uje utetee hoja yako kuwa watu weusi ni rahisi kushawishika.
-Teh teh..bado nataka cheka tena hapa..hiyo defensive corner nani kaniwekea?
-By the way hivi unafahamu ulichoandika hapa?Umesoma title ya thread? I wonder km umewahi soma chochote btn lines.Hii ni mada ya watu kujadili na si mimi ku-weka hitmisho langu.Sasa hapa makuaon aumeamua kuwa militant fasta,umeamua kimbia ktk msingi unawahi jenga mazingira ya vita.

Hivi unamaa umeshindwa toka ktk deadlock?wal hakuna gret thinker atakayekushangaa km umekiri umeingiza dini kimakosa unarudi changia.Ukikomaa sana ktk kuingiza dini basi watakuja watu kukudhalilisha wewe na dini yako halafu utajikuta unaumbuka na kuleta vita.Wapo watu huku jamvini wanajua mambo mengi ,ila hawatakuelisha kwa kubembeleza .hawatakupa nafasi ya kuchagua kipi ukikubali kipi ukikatae wanakufundisha kwa kukuambia ukweli unaouma.
 
Back
Top Bottom