Mleta mada hivi wazungu na sisi watu weusi Nani mwenye akili? Huoni kwamba twahubiri na kukitukuza kitu (ndoa) ambacho hakiwezekani na tayari kmewashind hata wenye akili(wazungu)?Watu wote wenye akili huchukulia familia Kama Jambo kubwa la maana.
Sisi kinachotutesa ni unafiki. Ndoa zimetushinda lkn hatutaki kukubali kuwa zimetushinda. Tunaingia kwenye ndoa kwa kukifanya tunafuata taratibu za maadili (Mungu) wakati hakuna chochote.