Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,292
- 33,903
Sijaelewa hoja ya wana CCM wa JF kuhusu gonjwa la COVID-19 kwamba Watanzania wajiongeze wenyewe kufanya maamuzi ya kujiwekea "Lock down" au "Self Isolation" kwa kuwa SI LAZIMA wasubiri waambiwe na serikali kufanya hivyo!!
Ninachojiuliza ni kwa nini Watanzania wanaambiwa "wajiongeze" wakati kuna serikali inayowatoza kodi? Hivi kwa nini kuna serikali kumbe wakati Watanzania wanaweza tu kuendesha maisha yao "kwa kujiongeza"?
Ninachojiuliza ni kwa nini Watanzania wanaambiwa "wajiongeze" wakati kuna serikali inayowatoza kodi? Hivi kwa nini kuna serikali kumbe wakati Watanzania wanaweza tu kuendesha maisha yao "kwa kujiongeza"?