Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Sio suala geni kuanzia kwa mwenyekiti wa CCM hadi mwenyekiti wa mtaa wa CCM, na vyombo vyote husema hii Serikali ni ya CCM, naomba kufahamu Serikali ni mali ya kikundi cha CCM au mali ya umma?
1.Mara Serikali yangu
2. Mara mkoa wangu wa Dar
1.Mara Serikali yangu
2. Mara mkoa wangu wa Dar