Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,790
Wafaidikaji daima huvaa miwani za mbaoHuko facebook kuna limtu linaitwa magoiga, linamsafisha had aibu, kaka anajua kujikomba yule
Wafaidikaji daima huvaa miwani za mbaoHuko facebook kuna limtu linaitwa magoiga, linamsafisha had aibu, kaka anajua kujikomba yule
Inawezekana ni Mr. Baya mwenyewe huyo ndani ya JF. Mijitu mingine bana Sijui Bob Jiwe anaiokotaga wapi. Nawaza hapa pengine ndio "Ndege Wafananao,....... "msenge kweli wewe TRA kazi yake nini?
Retard. Pumbavu. Ignorant fool. Numbskull. Kajifunze kazi za TRA bwege ww.Mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi ya wilaya ni basha wako?.
Inawezekana! Halafu sasa jinsi Sabaya na lenyewe lilivyo kubwa jinga linajitetea kama mganga wa kienyeji, halina hata common sense.Inawezekana ni Mr. Baya mwenyewe huyo ndani ya JF. Mijitu mingine bana Sijui Bob Jiwe anaiokotaga wapi. Nawaza hapa pengine ndio "Ndege Wafananao,....... "
Hapa juzi kati situliletewa habari ya kupata ajali akiwa na mke wa afisa usalama tena wakitoka kununua gari Dar huyu mtu siyo mstaarabu kabisa hata sura yake inaonyesha haaminikiNdivyo alivyo ndugu yangu wala hujadanganywa hata kidogo. Sabaya kaanza starehe muda mrefu zana. Tukisema sisi tunaomfahmu tunaambiwa ni siasa, bora ninyi mnamsikia msema. Huyu DC sio wa kufanya kazi na JPM,hawaendani.
Hapa juzi kati situliletewa habari ya kupata ajali akiwa na mke wa afisa usalama tena wakitoka kununua gari Dar huyu mtu siyo mstaarabu kabisa hata sura yake inaonyesha haaminiki
Magoiga yule Batamzinga?Huko facebook kuna limtu linaitwa magoiga, linamsafisha had aibu, kaka anajua kujikomba yule
Wewe Batamzinga huna ujualoMisukule ya mbowe mnajitoa ufahamu mkuu wa wilaya ndiye msimamizi na mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi swine.
AMEKUWA TRA? VIJANA WENGI WALIOWEKWA MADARAKANI NA JIWE NI WAHUNI NA WEZI NI WALA RUSHWA WAKUBWA NA WANATUMIA UKARIBU NA MALAIKA MKUU KUJIPATIA PESA ISIVYO HALALI, KUNA DC MMOJA PAMOJA NA KULIPWA POSHO YA NYUMBA ALIPANGA NYUMBA KULIPA IKAWA SHIDA MPAKA MWENYE NYUMBA ALIPOTISHIA KWENDA KWA MKUU WA MKOA. NADHANI IFIKE WAKATI MAMBO MAKUBWA YANAYOHARIBU TASWIRA YA MTANZANIA NA NCHI YAKE TUYAKEMEE.Sabaya anakazi ngumu ya kupambana na wakwepa kodi ambao ni matajiri wakubwa mno ndani ya hai.Uzi wa kipuuzi kama huu haumrudishi nyuma ng'o.
Awe mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya, hapo hapo awe mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi ya wilaya? Kweli? Na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya anasimamia nini? Mwenyekiti wa halmashauri ndiye kiongozi wa baraza la madiwani ambao ndiyo inayosimamia mapato na matumizi wilaya.Misukule ya mbowe mnajitoa ufahamu mkuu wa wilaya ndiye msimamizi na mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi swine.
ni upumbavu mtupu. Sabaya si kuvumbia macho.Awe mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya, hapo hapo awe mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi ya wilaya? Kweli? Na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya anasimamia nini? Mwenyekiti wa halmashauri ndiye kiongozi wa baraza la madiwani ambao ndiyo inayosimamia mapato na matumizi wilaya.
Kwanza DC mwenyewe hanaga mafungu, hata hela ya mafuta ya gari anaendaga kumpigia magoti DED, afu hapohapo ni msimamizi wa matumizi ya wilaya? MAHANJU tutafutie hizi facts tafadhali, tusilishwe matango pori na hawa wahunihuni.
Sabaya anakazi ngumu ya kupambana na wakwepa kodi ambao ni matajiri wakubwa mno ndani ya hai.Uzi wa kipuuzi kama huu haumrudishi nyuma ng'o.
Pumbavu kabisa.Akili za kizombie kabisa.Ok mkti ya ulinz na usalama kwa hyo yy ndo anaenda kùkamata wahalifu au polisi?Vijana wa Lumumba ni wanàfiki had shetan anawashangaà.Na makonda style ndo njia ya ķukušanya kodi?Misukule ya mbowe mnajitoa ufahamu mkuu wa wilaya ndiye msimamizi na mwenyekiti wa kamati ya mapato na matumizi swine.
Kumbe siku hizi kodi zinadaiwa saa 10 usiku..Sabaya anakazi ngumu ya kupambana na wakwepa kodi ambao ni matajiri wakubwa mno ndani ya hai.Uzi wa kipuuzi kama huu haumrudishi nyuma ng'o.
Sabaya anakazi ngumu ya kupambana na wakwepa kodi ambao ni matajiri wakubwa mno ndani ya hai.Uzi wa kipuuzi kama huu haumrudishi nyuma ng'o.
Huyo anayemsafisha huko fb , mtaro unaziba kweli. Maana mwanaume mzima kutetea upumbavu hadharani inahitaji uwe elements za kishogashogaHuko facebook kuna limtu linaitwa magoiga, linamsafisha had aibu, kaka anajua kujikomba yule
Ninawashangaa sana watu mnaotokwa mapovu kumtetea huyu Sabaya ni kwa vile hamumjui tu. Endeleeni kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi ili aendelee kula pesa za watu.
Kuna mambo mengine ya hovyo sana, hamwezi kujiuliza huyu mfanyabiashara kachoka kiasi gani mpaka kufikia kulalamika?
Kwani Sabaya akiondolewa mbafikiri DC mwingine atakayepelekwa Hai atatoka CHADEMA? Yaani kila kitu siasa tuu badala ya kuangalia content na mazingira na kisha kutazama historia ya Sabaya.
Hii Makonda style huyo mfanyabiashara kaijulia wapi? Kwanini serikali ambayo tunajaribu kujipambanua kwa rushwa tuchekelee hii hatari? Kabla ya Sabaya hakukua na DC?
Kwa bahati mbaya sana nimekua ndani ya kamati mbali mbali za CCM mkoa wa Arusha kabla sijaondoka na mzee wangu EL, Sababya sio mtu msafi tusitumie nguvu nyingi kutaka kumsafisha. Possibility yangu ni 100% kua amepiga hizo pesa. Sina ukaribu na Mbowe,hanijui na wala simjui tusiingize siasa kumhusidha yeye.
TAKUKURU watende haki kupitia yule mfanyabiashara watajua kila kita kitu, hata yule msanii aliyekua anasumbuliwa usiku kucha pia ni shahidi msiume maneno hamjui mambo.