GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,860
Na hapa ndipo Kipimo halisi cha aina ya Wanamichezo (hasa wapenda Soka) wa Tanzania walivyo ukichanganya na Waandishi wa Habari na Watangazaji wa 'hovyo hovyo' tulionao Tanzania kwa sasa. Yaani Timu yetu ya Taifa Stars jana 'imejitutumua' na kutoka Sare na Tunisia badala ya Kuwapongeza Wachezaji wote 'Mijitu' leo kutwa inamjadili tu Mchezaji wa Yanga SC Faisal Salum.
Hivi huyo (huyu) Faisal Salum wenu bila 'Pasi' ya Kwanza iliyoanzia kwa Jonas Mkude na kumkuta John Boko na Kumpa Yeye 'pande' angefunga?
Hivi huyo (huyu) Faisal Salum wenu bila 'Pasi' ya Kwanza iliyoanzia kwa Jonas Mkude na kumkuta John Boko na Kumpa Yeye 'pande' angefunga?