Mnaotumia Voda, Tigo ama Airtel katika bando, vipi huko hali ikoje maana TTCL bando halikai kabisa

Black BackUp

JF-Expert Member
Aug 5, 2019
685
622
Husiku na kichwa cha habari hapo juu,

Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.

TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.

Asante
 
Kuna account moja humu JamiiForums ya TTCL niliweka comment nikasema kwa muda wa siku 3 nimetumia elfu 30. Yaani ilikuwa 10,000 kwa mwezi mzima sasa jamaa nikiweka 10,000 siku ya pili haipo. Kuna mtu kuiona comments yangu akaanza kubwata na TTCL wenyewe wametaka niwapigie simu wakati huo mimi nilikwenda mpaka ofisi kuu yao, sasa kwa simu nipige itasaidia nini?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
tigo voda wana afadhali ila bando zao huwa wanapandisha bei kwa pamoja km ni kampuni za baba 1.airtel ndio wanaboa kinoma ukishaweka ofa zao unapewa gb1 mfano lakin hutaenjoy maana wanaibana internet hadi bando ina expire hujaangalia ht picha moja shubamiit
 
ukitaka usielews bando linaendaje washa 4g muda wote.
cha kuwashauri wekeni auto 3g and 2g.ina kasi nzuri tu ambayo sio ya kutisha kwenye kubugia.

sababu ukiweka 4g,ukiingia youtube inaplay resoln kubwa ambayo inakata bando si kawaida.

ukiingia inta inaload video kwa haraka na kula bando vibaya sana.
 
Kuna account moja humu JamiiForums ya TTCL niliweka comment nikasema kwa muda wa siku 3 nimetumia elfu 30. Yaani ilikuwa 10,000 kwa mwezi mzima sasa jamaa nikiweka 10,000 siku ya pili haipo. Kuna mtu kuiona comments yangu akaanza kubwata na TTCL wenyewe wametaka niwapigie simu wakati huo mimi nilikwenda mpaka ofisi kuu yao, sasa kwa simu nipige itasaidia nini?


Ndukiiiii
Ndugu mteja tunaomba yako tafadhali kwa msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom