Mnaotumia Voda, Tigo ama Airtel katika bando, vipi huko hali ikoje maana TTCL bando halikai kabisa

ukitaka usielews bando linaendaje washa 4g muda wote.
cha kuwashauri wekeni auto 3g and 2g.ina kasi nzuri tu ambayo sio ya kutisha kwenye kubugia.

sababu ukiweka 4g,ukiingia youtube inaplay resoln kubwa ambayo inakata bando si kawaida.

ukiingia inta inaload video kwa haraka na kula bando vibaya sana.
Acheni kutumia tecno, hizo ndo zinawalamba bando zenu
 
mhhh haya weee ttcl bado sanaaaa nina laini yenu maeneo ya mijini tu bado internet yenu inasumbua maana ina speed ya konokono labda mtu akae chini ya minara yenu ndo atapata speed yenye afadhali
Wewe upo sehemu gani?
 
kuna simu inatumia bandle vibaya kama iphone???

jaribu utaelewa.
Screenshot_20200829-100407_Samsung Internet.jpg


China's Tecno sold thousands of smartphones with malware in Africa

Mie nasemea hao wanaolalamikia bando kuisha fasta wakati hawaoni walichofanya......kwa iphone inategemea na huduma ulizokubali ku activate sasa kama kila kitu una upload icloud unadhani bando litatumika vilevile??
 
wawe wanaangalia namna ya kulinda brand yao kwa mistake zao,kuliko kuwakarahisha wateja mpaka kupelekea kumfukuza mtu kurudi kwenye mitandao mingine...pia wajue vifurushi vyao havina tofauti na tigo wala voda kwa gharama

Hivyo wasijidangaye kwamba itakuwa ngumu watu kuwakimbia..maana kwa na namna yoyote hawawezi kuifika voda wala tigo ikiwa kila kitu wanafananao..tena wenzao wanajitahid Bando za internet hazikati kiboya boya kama wao
Magu si kalazamisha mashirika ya serikali kutumia vocha za TTCL! Binafsi natumia TTCL kwa sababu hiyo tu! Bando zikiisha sijisumbui. Muda si mrefu nitaiacha kuitumia vocha nitaziuza.
 
Husiku na kichwa cha habari hapo juu,

Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.

TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.

Asante

Sasa unapotaka sijui 'Bando' la TTCL likae na lidumu kwa muda mrefu wao Vocha zao zingine wanunue nani? Kuna 'Hoja' zingine ni za Kipuuzi mno.
 
Sasa unapotaka sijui 'Bando' la TTCL likae na lidumu kwa muda mrefu wao Vocha zao zingine wanunue nani? Kuna 'Hoja' zingine ni za Kipuuzi mno.
Umejibu kisiasa mno Mr... Threads zako hua za ki Great thinker mno sijui kwa nini swala dogo Kama hili umeshindwa kulichambua??!!
 
Husiku na kichwa cha habari hapo juu,

Nimekua mteja wa TTCL muda sasa toka nilipoanza kutumia yapata miaka kadhaa. Mabadiliko mengi yakatokea mimi nipo tu. Kwa mabadiliko haya ya gharama za data zao naamini watampoteza mteja mmoja.

TTCL mna threads zenu humu ndani (JF) namna mtaboresha huduma zenu/kuomba maoni mbalimbali kwa wateja wenu. Fanyieni kazi maoni ya wateja wenu.

Asante
halotel uhakika
 
wawe wanaangalia namna ya kulinda brand yao kwa mistake zao,kuliko kuwakarahisha wateja mpaka kupelekea kumfukuza mtu kurudi kwenye mitandao mingine...pia wajue vifurushi vyao havina tofauti na tigo wala voda kwa gharama

Hivyo wasijidangaye kwamba itakuwa ngumu watu kuwakimbia..maana kwa na namna yoyote hawawezi kuifika voda wala tigo ikiwa kila kitu wanafananao..tena wenzao wanajitahid Bando za internet hazikati kiboya boya kama wao
Mkuu hii kitu hii tulishaiangalia kwa tathimini siku nyingi sana tukaamua kunyamaza tu!

Unakumbuka kabla ya Magufuli kuivunja menejimenti pamoja na 'director', huko nyuma kulikuwa na simu pamoja na line za mtandao mmoja, unajua madhumuni yake yalikuwa ni nini!

Hiyo ilikuwa ni hujuma ya kifisadi kuihujumu Ttcl kibiashara, holo kila mtu anajua na Magufuli alishawahi kuliweka wazi siku1.

Sasa yalipokuja mabadiliko ya menejimenti na huyo mkurugenzi Kindamba na slogani yao ya' rudi nyumbani...' tukajua kuwa mabadiliko chanya yaja, lakini wapi!

Kumbe ile kampeni ya hujuma ya kuiua Ttcl bado inaendelezwa hadi sasa, lakini imeboreshwa kisayansi kwa kutoa gawio na kuikunja makucha serikali.

Ukiuliza faida ya kutoa hadi gawio wanaitoa wapi, wanajibu kiurahisi tu kwamba wanaipata kwa kuuza masafa kwa makampuni mengine ya simu!

Huku kubweteka kwao usidhani hawajui ama hawawezi kubuni ushindani wa kibiashara, wanajua sana na ni makusudi kama ilivyokuwa kwa shirika ka reli, liliachwa life ili wenye magari wafanye biashara.

Haiwezekani kama shirika kubwa kama hili la umma likashindwa mikakati ya kuboresha huduma za mawasiliano ya simu likabaki na sura ya kizamani kama lilivyo Ttcl sasa, lazima kuna kitu nyuma ya pazia.

Ttcl imebakia ni ya wazee, ukienda maofisini unakutana na vimbabu/vimbibi ama viti vilivyoachwa wazi na staff waliostaafu kwa umri bila ya kujaza nafasi kwa kuajiri vijana wapya!

Kutoa gawio kwa serikali imekuwa ndiyo kinga kuu ya kuhujumu watakavyo kwa kuwa hakuna wa kuwauliza.

Lakini nasema kila siku kwamba ipo siku yao, tuliona mambo kama hayo kwa Mchechu wa Nhc, nini kilimtokea na leo yuko wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kata kushoto then nenda mbele kidogo halafu panda na hiyo barabara inaenda mpk juu ukifika kileleni utakuta kuna bango limeandikwa halotel..!😅
Mkuu, nkitaka 1gb ya buku kwa wiki kwa halotel naipataje.?
 
Back
Top Bottom