Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,871
- 38,489
Natumai hamjambo.
Tangu jana usiku yaani network kwangu ni ya kutafuta kwa tochi. App na website zinaload dakika 5 kufunguka na muda mwingine zinagoma na kusema network error. Nikacheki bundle lipo la kutosha. Pale juu inasoama H+ ila naona mshale wa ku upload tu wa kudownload unatokea mara chache sana.
Hata huu uzi hapa nimepost kwa shida sana.
Tangu jana usiku yaani network kwangu ni ya kutafuta kwa tochi. App na website zinaload dakika 5 kufunguka na muda mwingine zinagoma na kusema network error. Nikacheki bundle lipo la kutosha. Pale juu inasoama H+ ila naona mshale wa ku upload tu wa kudownload unatokea mara chache sana.
Hata huu uzi hapa nimepost kwa shida sana.