Mimi ni mtumiaji mgeni wa Zola, kwa muda wa wiki sasa huduma yao inanisumbua,betri haijai.Taa yao wanayoita ya ulinzi inawaka masaa 24 ambayo waliniahidi kuwa itakuwa inajiwasha jioni na kujizima asubuhi.
Ajabu hata waliponielekeza pa kuzimia haizimi.Waliniahidi kumtuma FUNDI wao aje anirekebishie lakini imekua si kweli.
Kwa nyie mnaowafahamu hawa watu huduma zao zikoje?Mbona wameanza kunilaza gizani pamoja na kuwalipa hela ndefu?
Ajabu hata waliponielekeza pa kuzimia haizimi.Waliniahidi kumtuma FUNDI wao aje anirekebishie lakini imekua si kweli.
Kwa nyie mnaowafahamu hawa watu huduma zao zikoje?Mbona wameanza kunilaza gizani pamoja na kuwalipa hela ndefu?