Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Hongera Chadema kwa kuonesha njia.
Lakini msiishie kwenye maneno tu fanyeni kivitendo.
Msisahau lakini kwamba mbunge ni mwakilishi wa wananchi lazima akubalike.
Wananchi wakimpenda mganga wa Kienyeji watamtaka huyo huyo ni zaidi ya kukaa ufipa na kuangalia CV na mbwembwe za mtu anayeongea kizungu.
Lakini msiishie kwenye maneno tu fanyeni kivitendo.
Msisahau lakini kwamba mbunge ni mwakilishi wa wananchi lazima akubalike.
Wananchi wakimpenda mganga wa Kienyeji watamtaka huyo huyo ni zaidi ya kukaa ufipa na kuangalia CV na mbwembwe za mtu anayeongea kizungu.