mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau nimekuwa nawafuatilia wanaohama kutoka CHADEMA na sababu wanazozitoa. Binafsi siona kama kuna ulazimu wa kutoa sababu ya kuondoka kwao mbona wakati wanajiunga hawakuviita vyombo vya habari na kuvieleza kwa nini wanajiunga na Chadema,?
Sidhani kama kuna mtu atawawazuia kuondoka mpaka watoe sababu. Kwa wanaotaka kuondoka waondoke haraka Chadema wajipange upya kwani wapenda mabadiliko ni wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna mtu atawawazuia kuondoka mpaka watoe sababu. Kwa wanaotaka kuondoka waondoke haraka Chadema wajipange upya kwani wapenda mabadiliko ni wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app