denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Hahahaaaa hav a gud 9t!Kuna mazingira ambayo taarifa zinapaswa kuchukuliwa bila kufuata matakwa ya sheria- na sheria kuu ni kuwa maslahi ya wengi (Taifa) yana nguvu juu ya kila kitu. Hii ni natural law na natural law haiombwi inakuja tu