mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,843
- 8,232
Hata mimi nimejaribu kumwelezea mlalamikaji ni kama anapiga porojo haelezi uhalisia wa tatizo ni kama anataka kumkomoa aliyempiga picha ,haelezei tatizo ni kama anazunguka tu mbuyu haileweki point yake nini?Nachokiona kama point ni ufike shekilango toka ubungo mataa ila umezungukia ubungo>mwenge>bamaga>sinza>shekilango!
Umezunguka sana yani make your point clear...
Umelipa hujapewa picha? Picha zmepigwa vibaya? Baadhi ya vitu kama Tv Screens setups hazikuwepo ukumbini?