EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Eti Dawa ya UTI unauwita ni ugonjwa katika karne kama hii ukiwa kwenye bara la watu weusi hususani Tanzania, wapo watu wanavituko kwelikweli wanakwambia wanaumwa UTI kila mara, UTI sio ugonjwa shida hapa watu hawajui ni kuwa makampuni ya madawa yanategeneza dawa za UTI ikiwa wao wenyewe hawajui Chanzo cha UTI hivyo asilimia ya wengi wanaomeza madawa ya UTI wengi hawaponi na zaidi wanakunywa dawa hizo kisha tatizo linabaki palepale leo hii utakaposambaza na kupenda ukrasa huu utakuwa Wa kwanza kuto ugua wala kunywa tena madawa ya UTI mwiko.
UTI haitokani na vimelea wala wadudu , bali UTI inatokana na mazoea au mtindo wa watu kubanwa mkojo kwa mdaa mrefu kisha wao wakaubana kwa kipindi wanaubana acid inayopatikana kwenye mkojo ni 638.92gml ambapo acid hii inategemea kiwango cha maji ulichotumia ndani ya masaa 48, hivyo Acid hii huenda kuchoma kwenye njia ya mkojo na kupelekea kuta za povu kujitunga hapo ndipo UTI uanzia,Ndio maana ukiwa na UTI utaona vitu vizito mfano wa usa unatoka hayo ndio mapovu yaliokwisha jiegemeza kwenye kuta na ili upone UTI ni kwa kusafisha kuta hizo na sio kusema unywe dawa uwe wadudu wa UTI.
Pili UTI unaweza kuipata kama utafanya Sex na mtu ana uchafu (hajisafishi vyema) hasa jasho au ameshiriki tendo na watu wawili bila kujifanyia usafi sahihi hivyo wakati wa tendo la ndoa ume au uke unaposukuma ndani au kwenda nje kuna nguvu Fulani ya force husukuma majimaji ya mwanamke yale machafu kumwingia mwanamme kwenye njia ya mkojo na kwa mwanamke ule uchafu mweusi unaingia kwenye njia ya kizazi hadi kwenye njia ya mkojo hivyo chafu hizi zinapofika huko hutuga bacteria na kuta la vimelea wabaya sasa hii ndio UTI ambayo wengi huchanganya na ile ya kwanza .
Ukibahatika kuwa Tanzania, kuka mahali zipo choo chafu za kulipia zinanuka ukienda kwenye sehemu ya kukojolea wanaume tazama kwa makini zile kuta utaona zimekuwa mfano wa rangi ya maziwa ukiugusa utandao huo utaona ukauwa kama mapovu au maziwa hayo ndio mfano wa masalia yanayobaki kwenye njia ya mkojo na kusababisha UTI na wala sio wadudu wala bacteria.
Ili uweze kuitibu UTI unahitaji uzingatie baya
1-Usikae na mkojo kwa mdaa mrefu.
2-Ndani ya masaa 24 hakikisha umetumia Lita 6(mwanamke) na 8-10 kwa siku.
Jinsi ya kutibu UTI
Ukichanganya tangawizi + limao na maji utatibu UTI ambayo inatoa mkojo umchafu na mwekundu .
Ukichanganya magadi + limao na majibutatibu UTI ambayo imepanda kwenye figo.
Ukichanganya kitungu swaumu + chumvi na maji utaweza kutibu UTI Kali kwa mtu mvuvi wa kunywa maji mengi.
Ukichanganya mwarobaini + mchaichai na maji utaweza kutibu UTI sugu ya mdaa mrefu zaidi.
Ukichanganya majani ya mzambarau + magome ya mti wa embe na maji utaweza kutibu UTI iliyodumu kwa siku 7 mfululizo.
Ukichanganya majani ya molinga + majani ya mabua utaweza kutibu UTI iliyopanda kwenye figo juu.
*Ulichokuwa hujui?
Dawa za Hospital hazitibu UTI 100% ila watakacho kwandikia ni kunywa 2*3 ambapo kwa kila kidoge huwekewa compound ya SLD ambayo itakufanya/ kuchochea kunywa maji kati ya glass 3-5 kwa siku hivyo kinachotibu UTI kwa asilimia zote ni matumizi ya maji mengi na uyatoe kwa wakati kupitia haja ndogo.
Na Dr.Willium Mtanzania wa USA Marekani
Sent using Jamii Forums mobile app
UTI haitokani na vimelea wala wadudu , bali UTI inatokana na mazoea au mtindo wa watu kubanwa mkojo kwa mdaa mrefu kisha wao wakaubana kwa kipindi wanaubana acid inayopatikana kwenye mkojo ni 638.92gml ambapo acid hii inategemea kiwango cha maji ulichotumia ndani ya masaa 48, hivyo Acid hii huenda kuchoma kwenye njia ya mkojo na kupelekea kuta za povu kujitunga hapo ndipo UTI uanzia,Ndio maana ukiwa na UTI utaona vitu vizito mfano wa usa unatoka hayo ndio mapovu yaliokwisha jiegemeza kwenye kuta na ili upone UTI ni kwa kusafisha kuta hizo na sio kusema unywe dawa uwe wadudu wa UTI.
Pili UTI unaweza kuipata kama utafanya Sex na mtu ana uchafu (hajisafishi vyema) hasa jasho au ameshiriki tendo na watu wawili bila kujifanyia usafi sahihi hivyo wakati wa tendo la ndoa ume au uke unaposukuma ndani au kwenda nje kuna nguvu Fulani ya force husukuma majimaji ya mwanamke yale machafu kumwingia mwanamme kwenye njia ya mkojo na kwa mwanamke ule uchafu mweusi unaingia kwenye njia ya kizazi hadi kwenye njia ya mkojo hivyo chafu hizi zinapofika huko hutuga bacteria na kuta la vimelea wabaya sasa hii ndio UTI ambayo wengi huchanganya na ile ya kwanza .
Ukibahatika kuwa Tanzania, kuka mahali zipo choo chafu za kulipia zinanuka ukienda kwenye sehemu ya kukojolea wanaume tazama kwa makini zile kuta utaona zimekuwa mfano wa rangi ya maziwa ukiugusa utandao huo utaona ukauwa kama mapovu au maziwa hayo ndio mfano wa masalia yanayobaki kwenye njia ya mkojo na kusababisha UTI na wala sio wadudu wala bacteria.
Ili uweze kuitibu UTI unahitaji uzingatie baya
1-Usikae na mkojo kwa mdaa mrefu.
2-Ndani ya masaa 24 hakikisha umetumia Lita 6(mwanamke) na 8-10 kwa siku.
Jinsi ya kutibu UTI
Ukichanganya tangawizi + limao na maji utatibu UTI ambayo inatoa mkojo umchafu na mwekundu .
Ukichanganya magadi + limao na majibutatibu UTI ambayo imepanda kwenye figo.
Ukichanganya kitungu swaumu + chumvi na maji utaweza kutibu UTI Kali kwa mtu mvuvi wa kunywa maji mengi.
Ukichanganya mwarobaini + mchaichai na maji utaweza kutibu UTI sugu ya mdaa mrefu zaidi.
Ukichanganya majani ya mzambarau + magome ya mti wa embe na maji utaweza kutibu UTI iliyodumu kwa siku 7 mfululizo.
Ukichanganya majani ya molinga + majani ya mabua utaweza kutibu UTI iliyopanda kwenye figo juu.
*Ulichokuwa hujui?
Dawa za Hospital hazitibu UTI 100% ila watakacho kwandikia ni kunywa 2*3 ambapo kwa kila kidoge huwekewa compound ya SLD ambayo itakufanya/ kuchochea kunywa maji kati ya glass 3-5 kwa siku hivyo kinachotibu UTI kwa asilimia zote ni matumizi ya maji mengi na uyatoe kwa wakati kupitia haja ndogo.
Na Dr.Willium Mtanzania wa USA Marekani
Sent using Jamii Forums mobile app