Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Kwa hip hujui Afrika kuna waislaeli? Sasa unabishabisha tu bila uelewa was mbi.Google utapata data wapi Afrika kuna waislaeli wengine hupitishwa hapa kwenye maroli wakizamia SA hatimae hufa kwa kukosavhewa.
Kuna waisrael wengi Sana blacks pale Ethiopia na Nigeria. Mwaka juzi Kama sikosei walikataliwa kurudi Israel coz waisrael wa kizungu hawawakubali wenzao.. hata hivyo Kuna blacks kibao kule ambao ni waisrael,. Actually ni polisi kule
 
Wanaowasujudu labda ni wale wapendao ukandamizaji wa binadamu wenzao, uuwaji, uporaji wa ardhi na ukatili, kwa kweli wanachofanya Israel sidhani kama taifa lingine duniani lingevumiliwa kwa ukatili huo...
 
Sawa ni propaganda lakini je hawana uwezo huo mkubwa.?
Tuweke hapa orodha ya watu wenye asili ya Israel ambao wamefanya makubwa. Au wanaushawishi zaidi duniani.
Unajua wewe huelewi kwamba leo hii wewe ukafanya jambo kubwa hutapewa coberage kubwa kama wao. Kwa nini kwa sababu wao wanataka uwaone wao wako juu wewe uko chini. Amka ndugu, Wanadamu wote wana uwezo sawa wa kufanya makubwa sana.
 
Umeiandika kishabiki sana na sijui ulikuwa unaharakia wapi pindi unaandika huu waraka wako
 
Gari limeshaondoka stendi, wewe umechelewa, pole sana.
Huwa naona kama vile watu wanajadili matokeo bila kuanza kutuambia mtu mwenye akili ana sifa gani, akili ni nini, kuliko kuanza kutuambia mitazamo ya watu na watu kuvutia upande wao.

Hilo swali huwa nauliza sana, lakini sipati majibu au sijibiwi kabisa.

Ahsante.
 
Loftins, Uzuri binafsi naheshimu kila mtu ila kigezo cha kuwahi kujiunga jf sio ukubwa kama miezi mitatu nyuma nna braza wang aliniomba nimuelekeze kujoin jf nakaniacha zaidi ya miaka 10 akijiunga 2020 itadetermine vp umri wake

Suala nikuwahi nakuchelewa kuitambua nakuifaham hii mitandao namatumizi yake...
 
raia wa Ujerumani aliye kimbilia Marekani

Einsten ni raia wa israel na kuna kipindi alipewa ofa ya kua raisi wa israel baada ya raisi aliekuepo kumaliza mda wake ila alikataa kwa kisingizo kua hana uzoefu mzuri wa malalamiko ya watu, he is from israel

Albert Einstein - Wikipedia
1594285988411.png
 
Da'Vinci Israel ni Taifa ambalo limekusanya jamii tofauti ya Wayahudi ambao ni Sephardic, Mizrahi, Ashkenaz n.k Lakini katika jamii hiyo yote ya Wayahudi jamii moja tu ndiyo iliyosheheni wasomi ambayo wengi wao wameibeba na kuiangaza kuwa wenye asili ya Israel ama Waisrael ni jamii yenye akili sana! Jamii hiyo ni Wayahudi wa Ashkenaz. Waliyotoka Ulaya ya Mashariki.

Hii jamii si kwamba ni jamii yenye watu wenye akili na upeo mkubwa duniani. Bali ni jamii ambayo iliyowekeza kwenye elimu tangu zamani na mpaka sasa. Mtafute Ashkenaz Jew wa aina yoyote muulize jamii yao suala la elimu wanalichukuliaje? Kwao limepewa kipaombele sana na ni suala ambalo limepewa kipaombele na limeshurutishwa kuwa ni lazima kwenye kitabu chao cha Talmud. Na hawa ndiyo waliyosambaa bara Ulaya na kwengineko miaka ya nyuma kiasi kwamba wengine wakaibua na kushawishika na hii dhana.

Kwa hiyo suala hapa ni elimu na hakuna kingine. Kama jamii ikiwekeza zaidi kwenye elimu hayo ambayo kwa wengine mnaona ni ajabu iliyoje ama ni uteule hamtoyashangaa tena. Mfano hai yatizame mataifa ya Dola za kale yaliyosifika kwa elimu na maarifa halafu yakazembea kisha yatizame mataifa yaliyoibuka sasa kwenye ulingo wa sayansi haswa yalichokifanya ni kipi?! Ni kuwekeza kwenye elimu na tafaiti tu! Tena elimu isiyo na longolongo.
 
MKUU hata hio wikipedia uloileta wewe mwenyewe kama ushahidi juu eistein inakukatalia kama Albert alikua Muisrael Cjui kwaasili

Ila jamaa alikua Mjerumani safi kabisa aliepelekwa US kwamasuala yakimaisha naharakati zahapa napale
Einsten ni raia wa israel na kuna kipindi alipewa ofa ya kua raisi wa israel baada ya raisi aliekuepo kumaliza mda wake ila alikataa kwa kisingizo kua hana uzoefu mzuri wa malalamiko ya watu, he is from israel

Albert Einstein - Wikipedia
View attachment 1501755

Albert Einstein was a German-born theoretical physicist who developed the theory of relativity, one of the two pillars of modern physics. His work is also known for its influence on the philosophy of science. Wikipedia

Born: March 14,.....
 
Back
Top Bottom