Mnaoshangilia kesi ya Makonda mnapoteza muda wenu bure, hakuna kesi pale

Kama uvamizi wa Clouds ni jambo jepesi hivyo kwa nini Nape alitishiwa bunduki na wahuni hadi akasaidiwa na Kitenge kwenye hilo saga?
Niaminini ninachowaambia!

Misingi ya kesi ya makonda ni tofauti kabisa na ilivyokuwa kesi ya Sabaya!!

Ikumbukwe kwamba Punde tu sabaya baada ya kutenguliwa u DC, aliwekwa kitimoto/mahabusu chini ya Takukuru kabla ya kushitakiwa!

Sasa ishu ya makonda ukiitazama unaona kabisa waziwazi hakuna kesi pale zaidi ya watu wachache waliokubaliana kutafta kiki tu!

Nasema kesi ya makonda ilitakiwa kuwakilishwa na uzito mkubwa zaidi ya huu wa kina kubenea kwasababu zifuatazo!

1. Mlalamikaji mkuu wa kesi ya uvamizi wa clouds media ni KUBENEA! .hahah Sawa kubenea ni mlalamikaji lakini vipi kama clouds watagoma kutoa ushahidi kuna kesi hapo? Jibu ni hakuna
2. Mashitaka yanamtaja mtuhumiwa ni "Paul Makonda" Jina ambalo KUBENEA Mwenyewe kupitia gazeti lake walisema jina halisi la mkuu wa mkoa ni bashite, na Makonda ni la mtu aliyeko nzega na kutanabaisha kwamba anaejitambulisha kuwa ni makonda aitwe ALBERT BASHITE. Kwahiyo mlalamikaji hajaweka bayana anaemshitaki sasa ni nani kati ya hawa wawili, he ni aliyejiita MAKONDA au anamaanisha BASHITE?

3. Nasema hakuna kesi kwasababu tatu makonda mwenyewe yuko kwake akiwa huru, tahudhuria kesi kutokea kwake, hivyo kama kuna ushahidi wowote unaoweza kuwa hatari anaweza kuutempa kirahisi.

4. Wanaomshitaki Makonda si wakuaminika ki viile, ni kesi yenye msingi ya kisiasa na ulaji binafsi.
5. Hata makonda alipoingia clouds, hakupora mtu zaidi ya kuchukua CD yake! Hapo inampa uwanja mpana wa kukana mashitaka kwasababu hakuvunja milango, Milango yote walimfungulia wao wenyewe clouds!

Kiufupi kesi ya makonda na kubenea hamna kesi mule niaminini nachowaambia!

NASHAURI MASHITAKA YAPANGWE VIZURI ILI KESI IWE NA UZITO UNAOSTAHILI dhidi ya mtuhumiwa
 
Makonda ndiyo mtu pekee anaekula bata Tanzania kwa kauli yake mwenyewe

sasa kusema hivyo sijui ikawaje kosa kisheria

kifupi jamaa alikuwa anajua ana kundi kubwa linachukia sana maisha yake,akawa anafanya kusudi.
 
Niaminini ninachowaambia!

Misingi ya kesi ya makonda ni tofauti kabisa na ilivyokuwa kesi ya Sabaya!!

Ikumbukwe kwamba Punde tu sabaya baada ya kutenguliwa u DC, aliwekwa kitimoto/mahabusu chini ya Takukuru kabla ya kushitakiwa!

Sasa ishu ya makonda ukiitazama unaona kabisa waziwazi hakuna kesi pale zaidi ya watu wachache waliokubaliana kutafta kiki tu!

Nasema kesi ya makonda ilitakiwa kuwakilishwa na uzito mkubwa zaidi ya huu wa kina kubenea kwasababu zifuatazo!

1. Mlalamikaji mkuu wa kesi ya uvamizi wa clouds media ni KUBENEA! .hahah Sawa kubenea ni mlalamikaji lakini vipi kama clouds watagoma kutoa ushahidi kuna kesi hapo? Jibu ni hakuna
2. Mashitaka yanamtaja mtuhumiwa ni "Paul Makonda" Jina ambalo KUBENEA Mwenyewe kupitia gazeti lake walisema jina halisi la mkuu wa mkoa ni bashite, na Makonda ni la mtu aliyeko nzega na kutanabaisha kwamba anaejitambulisha kuwa ni makonda aitwe ALBERT BASHITE. Kwahiyo mlalamikaji hajaweka bayana anaemshitaki sasa ni nani kati ya hawa wawili, he ni aliyejiita MAKONDA au anamaanisha BASHITE?

3. Nasema hakuna kesi kwasababu tatu makonda mwenyewe yuko kwake akiwa huru, tahudhuria kesi kutokea kwake, hivyo kama kuna ushahidi wowote unaoweza kuwa hatari anaweza kuutempa kirahisi.

4. Wanaomshitaki Makonda si wakuaminika ki viile, ni kesi yenye msingi ya kisiasa na ulaji binafsi.
5. Hata makonda alipoingia clouds, hakupora mtu zaidi ya kuchukua CD yake! Hapo inampa uwanja mpana wa kukana mashitaka kwasababu hakuvunja milango, Milango yote walimfungulia wao wenyewe clouds!

Kiufupi kesi ya makonda na kubenea hamna kesi mule niaminini nachowaambia!

NASHAURI MASHITAKA YAPANGWE VIZURI ILI KESI IWE NA UZITO UNAOSTAHILI dhidi ya mtuhumiwa
We Màtaga unaogopa Makonda atakuacha MJANE?
 
Ni sahihi.Hakuna kesi pale.
QkV.jpg
 
Niaminini ninachowaambia!

Misingi ya kesi ya makonda ni tofauti kabisa na ilivyokuwa kesi ya Sabaya!!

Ikumbukwe kwamba Punde tu sabaya baada ya kutenguliwa u DC, aliwekwa kitimoto/mahabusu chini ya Takukuru kabla ya kushitakiwa!

Sasa ishu ya makonda ukiitazama unaona kabisa waziwazi hakuna kesi pale zaidi ya watu wachache waliokubaliana kutafta kiki tu!

Nasema kesi ya makonda ilitakiwa kuwakilishwa na uzito mkubwa zaidi ya huu wa kina kubenea kwasababu zifuatazo!

1. Mlalamikaji mkuu wa kesi ya uvamizi wa clouds media ni KUBENEA! .hahah Sawa kubenea ni mlalamikaji lakini vipi kama clouds watagoma kutoa ushahidi kuna kesi hapo? Jibu ni hakuna
2. Mashitaka yanamtaja mtuhumiwa ni "Paul Makonda" Jina ambalo KUBENEA Mwenyewe kupitia gazeti lake walisema jina halisi la mkuu wa mkoa ni bashite, na Makonda ni la mtu aliyeko nzega na kutanabaisha kwamba anaejitambulisha kuwa ni makonda aitwe ALBERT BASHITE. Kwahiyo mlalamikaji hajaweka bayana anaemshitaki sasa ni nani kati ya hawa wawili, he ni aliyejiita MAKONDA au anamaanisha BASHITE?

3. Nasema hakuna kesi kwasababu tatu makonda mwenyewe yuko kwake akiwa huru, tahudhuria kesi kutokea kwake, hivyo kama kuna ushahidi wowote unaoweza kuwa hatari anaweza kuutempa kirahisi.

4. Wanaomshitaki Makonda si wakuaminika ki viile, ni kesi yenye msingi ya kisiasa na ulaji binafsi.
5. Hata makonda alipoingia clouds, hakupora mtu zaidi ya kuchukua CD yake! Hapo inampa uwanja mpana wa kukana mashitaka kwasababu hakuvunja milango, Milango yote walimfungulia wao wenyewe clouds!

Kiufupi kesi ya makonda na kubenea hamna kesi mule niaminini nachowaambia!

NASHAURI MASHITAKA YAPANGWE VIZURI ILI KESI IWE NA UZITO UNAOSTAHILI dhidi ya mtuhumiwa
Ina maana wewe unamtetea makonda?unaakili sawasawa wewe? We mtu mpaka marekani wame mpiga burn,hiyo hata akitoka kwenye hili iko siku atafunguliwa ingine,kesi imekaa Kama SoMo la hesabu,2+2 ni 4 hakuna jibu lingine,simpendi mtu napenda nchi yangu Tanzania wanasiasa wakipata madaraka wanajiona wao wanaakili kuliko watu wa kawaida
 
Ina maana wewe unamtetea makonda?unaakili sawasawa wewe? We mtu mpaka marekani wame mpiga burn,hiyo hata akitoka kwenye hili iko siku atafunguliwa ingine,kesi imekaa Kama SoMo la hesabu,2+2 ni 4 hakuna jibu lingine,simpendi mtu napenda nchi yangu Tanzania wanasiasa wakipata madaraka wanajiona wao wanaakili kuliko watu wa kawaida
Kwani hujui kusoma?
 
Kwani Marekani ni mbinguni ?
Ina maana wewe unamtetea makonda?unaakili sawasawa wewe? We mtu mpaka marekani wame mpiga burn,hiyo hata akitoka kwenye hili iko siku atafunguliwa ingine,kesi imekaa Kama SoMo la hesabu,2+2 ni 4 hakuna jibu lingine,simpendi mtu napenda nchi yangu Tanzania wanasiasa wakipata madaraka wanajiona wao wanaakili kuliko watu wa kawaida
 
Back
Top Bottom