Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
1: Asili ya Mapenzi au Upendo,Moja kwa moja ,Tiyari mungu alishaugawa,
Na ndomana utakuta upendo ulionao kwa baba na mama ni Tofauti na Uliokuwa nao,kwa majirani,Au mpenzi wako,huu tiyari ni mgawanyo.
2:Wanasema Huwezi Penda watu wawili,Kwa wakati mmoja ,Hili pia na kataa,
Unaweza kuwapenda watu wa wawili ila Si kwa Uwiyano sawa...
Yangu ni Hayo tu....
Na ndomana utakuta upendo ulionao kwa baba na mama ni Tofauti na Uliokuwa nao,kwa majirani,Au mpenzi wako,huu tiyari ni mgawanyo.
2:Wanasema Huwezi Penda watu wawili,Kwa wakati mmoja ,Hili pia na kataa,
Unaweza kuwapenda watu wa wawili ila Si kwa Uwiyano sawa...
Yangu ni Hayo tu....