King snr
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 1,165
- 1,461
Hiyo hoja uliyoitoa kwenye Aya ya pili hapo mbona hujaitolea majibu,
ndo unawaambia wajikinge korona wafe na njaa,
Au ndo kama polisi wa Kenya wanaoua raia kwa vipigo ili tu wasife kwa korona.
kipi bora kufa maskini ukiwa maarufu au kufa tajiri bila umaarufu
ndo unawaambia wajikinge korona wafe na njaa,
Au ndo kama polisi wa Kenya wanaoua raia kwa vipigo ili tu wasife kwa korona.
kipi bora kufa maskini ukiwa maarufu au kufa tajiri bila umaarufu