Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,244
umefufuka pacha?....
Pacha wako alikuwa kimya kuanzisha familia,
Nawe lianzishe.
umefufuka pacha?....
umefufuka pacha?....
Pacha wako alikuwa kimya kuanzisha familia,
Nawe lianzishe.
Tayari nimemwambia. Ametoroka nyumbani baada ya kuambiwa aoe.
Nicas Mtei miss you kijana wangu umepotelea wapi?Tayari nimemwambia. Ametoroka nyumbani baada ya kuambiwa aoe.
BAGAH kuna jamaa alikuwa anasafiri kwenye Kilimanjaro Exp kakaa na kajamaa kamoja...
Akawa akiandika msg kajamaa kanazisoma..jamaa akamind akaamua kubadili msg akaandika
"Aisee nimekaa na lishoga moja hapa linanilembulia na kuniegemeaegea tu ngoja tukifika Moshi ntaenda kulilamba faster"
Lol jamaa si akamind akaja juu eti kwanini kamtukana? Jamaa akamuuliza ye ameonaje wakati simu si yake? Ndo ikawa zogo!
Mwisho wa taarifa...nawasilisha na kupotea!
Hahahaaaaaaaa dogo acha majungu aiseee bana alishika pabaya...
alimdaka utamu...na wewe umeanza na kamba kama za fredoo eeh?
Hhahahahahahahhahahahahahhahahahahahahahhahahahaha.....................!!...e bana kuna watu wadaku!
uko kwenye daladala,au sehemu nyingine unaCHAT.
jirani yako kakomaa...katupia jicho simu yako...kuona msg zinazoingia na kutoka!
kiufupi huwa inaboa na inamnyima mtu uhuru
ni umbea usio na maana!
soma KISA hiki hapa chini,ni kichekesho lakini inaweza kukomesha katabia haka kama vipi unaweza ukaijaribu
"""Mshikaji kakaa kwenye daladala anaandika SMS, huku kashika kibegi chake. Mzee mmoja pembeni si akawa anakomaa kuangalia jamaa anaandika nini! Mshikaji akaamua kubadilia SMS akaanza kuandika: Yule nyoka uliyenipa inaelekea hujamtoa meno ya sumu, hapa nilipo anasumbua kwenye begi anataka kutoka, sijui nifanyeje na alivyo mkubwa akitoka ataniletea tabu hadi mimi. Mzee kuona vile akaanza kusogea pembeni! Mshikaji akachukua begi akamrushia! Mzee akaruka dirishani fasta! Nyokaaaaaaaa nakufaaaaaa! Kwenye daladala mwanawane,sio fureshi kukomaa kusoma meseji za watu!"""
Nicas Mtei miss you kijana wangu umepotelea wapi?
BAGAH kuna jamaa alikuwa anasafiri kwenye Kilimanjaro Exp kakaa na kajamaa kamoja...
Akawa akiandika msg kajamaa kanazisoma..jamaa akamind akaamua kubadili msg akaandika
"Aisee nimekaa na lishoga moja hapa linanilembulia na kuniegemeaegea tu ngoja tukifika Moshi ntaenda kulilamba faster"
Lol jamaa si akamind akaja juu eti kwanini kamtukana? Jamaa akamuuliza ye ameonaje wakati simu si yake? Ndo ikawa zogo!
Mwisho wa taarifa...nawasilisha na kupotea!
hahahahah!!umenifurahsha!!! kisa chote kile we huoni kitu!!??