Historia humfundisha mtu yeyote yule. Na mtu asiyekubali kujifunza kutokana ma historia hupewa jina ambalo SITALITAJA.
Kwa siku kadhaa sasa kumekuwa na mirindimo na ukwasi kwamba watu mashuhuri kutoka kwenye chama tawala CCM HAWARIDHIKI na wala HAWAFURAHISHWI jinsi rais Dr JPM anavyokiendesha chama na serikali yake.
Kwanza mimi SI msemaji wa CCM bali ni MCHAMBUZI/PUNDIT tu.
SI kwamba Dr Magufuli hana MAPUNGUFU, ila la MUNO si kuangalia KIASI cha mapungufu yake maana HAMNA mtu ASIYEKUWA nayo.
Ushauri wangu kama mwananchi VIJIJINI ni kuwa, KUKIHAMA chama si SULUHISHO na huleta political OBLIVION/KUSAHAULIKA kisiasa kabisa.
Naomba TUJIFUNZE toka kwa RAIS wa sasa wa ANGOLA ndugu Joao Laurenco.
Rais mtaafu wa Angola Do Santos alitoa MTEGO fulani akasema "Yeyote yule ambaye
angetaka kuwa RAIS baada ya yeye KUSTAAFU akiwa ameiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 30 na yuko tayari ANAWEZA kugombea URAIS."
Huku akijua ni nini anachokifanya!!!!
Joao akaingia MKENGE akasema "MIMI nataka niwe RAIS"
Hapo hapo Rais msaafu Dos Santos akaona AMBITIONS/UCHU wake wa Madaraka na mwisho AKAVULIWA mamlaka yake na kubaki MWANACHAMA wa kawaida tu kwa muda wa MIAKA 10.
Joao Laurenco HAKUTOKA CHAMANI na kujiunga (WAPINZANI) . Ila ALIBAKI ndani ya CHAMA chake.
Rais Dos Dayaos akaona kuwa huyu SI mtu MBAYA kama alivokuwa AMEAMBIWA.
Mwaka ay 2012 rais Dos Santos akaona huyu SI mtu wa KUTANGATANGA. Akampa kuwa WAZIRI wa ULINZI. Nyota yake ikaanza kung'aa.
Na kabla ya RAIS do SatoHAJHAJAACHIA mamlaka aka PROPOSE Joao awe MRITHI wake KISIASA.
Ni VIZURI sana WANASIASA wa CCM na wa VYAMA vingine WAIGE mfano huu .
Maana MVUMLIVU hula MBIVU. Na HASIRA ni HASARA!
Kwa siku kadhaa sasa kumekuwa na mirindimo na ukwasi kwamba watu mashuhuri kutoka kwenye chama tawala CCM HAWARIDHIKI na wala HAWAFURAHISHWI jinsi rais Dr JPM anavyokiendesha chama na serikali yake.
Kwanza mimi SI msemaji wa CCM bali ni MCHAMBUZI/PUNDIT tu.
SI kwamba Dr Magufuli hana MAPUNGUFU, ila la MUNO si kuangalia KIASI cha mapungufu yake maana HAMNA mtu ASIYEKUWA nayo.
Ushauri wangu kama mwananchi VIJIJINI ni kuwa, KUKIHAMA chama si SULUHISHO na huleta political OBLIVION/KUSAHAULIKA kisiasa kabisa.
Naomba TUJIFUNZE toka kwa RAIS wa sasa wa ANGOLA ndugu Joao Laurenco.
Rais mtaafu wa Angola Do Santos alitoa MTEGO fulani akasema "Yeyote yule ambaye
angetaka kuwa RAIS baada ya yeye KUSTAAFU akiwa ameiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 30 na yuko tayari ANAWEZA kugombea URAIS."
Huku akijua ni nini anachokifanya!!!!
Joao akaingia MKENGE akasema "MIMI nataka niwe RAIS"
Hapo hapo Rais msaafu Dos Santos akaona AMBITIONS/UCHU wake wa Madaraka na mwisho AKAVULIWA mamlaka yake na kubaki MWANACHAMA wa kawaida tu kwa muda wa MIAKA 10.
Joao Laurenco HAKUTOKA CHAMANI na kujiunga (WAPINZANI) . Ila ALIBAKI ndani ya CHAMA chake.
Rais Dos Dayaos akaona kuwa huyu SI mtu MBAYA kama alivokuwa AMEAMBIWA.
Mwaka ay 2012 rais Dos Santos akaona huyu SI mtu wa KUTANGATANGA. Akampa kuwa WAZIRI wa ULINZI. Nyota yake ikaanza kung'aa.
Na kabla ya RAIS do SatoHAJHAJAACHIA mamlaka aka PROPOSE Joao awe MRITHI wake KISIASA.
Ni VIZURI sana WANASIASA wa CCM na wa VYAMA vingine WAIGE mfano huu .
Maana MVUMLIVU hula MBIVU. Na HASIRA ni HASARA!