EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Habarini wadau, kwa aliyepo Bagamoyo tujuane nipo Empire bar hapa.
Turudi kwenye mada yawezekana ni ushamba wangu au umri umenitupa mkono, ila naomba kujuzwa hivi mnaonyonyana ndimi huwa mnasikia ladha gani?
Nilipokuwa kijana nliwahi kujaribu mara kadhaa kunyonya ulimi baada ya kuangalia XNX ila sijawahi kabisa kupata ladha wala utamu wowote, yawezekana wadada nliokutana nao hawana "utamu" au pengine hawakulamba sukari kabla sijakutana nao kwenye mate yao zaidi ya alkaline and tasteless.
Tangu enzi hizo huwa nshaachanaga na mambo hayo.
Wadau hebu nisaidieni kuelewa huwa mnapata ladha au utamu gani mkinyonyana ndimi?
Ni hayo tu.
Turudi kwenye mada yawezekana ni ushamba wangu au umri umenitupa mkono, ila naomba kujuzwa hivi mnaonyonyana ndimi huwa mnasikia ladha gani?
Nilipokuwa kijana nliwahi kujaribu mara kadhaa kunyonya ulimi baada ya kuangalia XNX ila sijawahi kabisa kupata ladha wala utamu wowote, yawezekana wadada nliokutana nao hawana "utamu" au pengine hawakulamba sukari kabla sijakutana nao kwenye mate yao zaidi ya alkaline and tasteless.
Tangu enzi hizo huwa nshaachanaga na mambo hayo.
Wadau hebu nisaidieni kuelewa huwa mnapata ladha au utamu gani mkinyonyana ndimi?
Ni hayo tu.