Mnaonunua simu kwenye promosheni za kampuni ya Airtel kuweni makini sana

Vodacom ndo mpango mzima jamaa hawana janjajanja na kesho wanagulio pale makao makuu yao jengo namba2 naenda kujibebea moja mitandao mingine igeni Vodacom msitapeli watanzania
 
Kuna kipindi nilinunuaga sony xperia z2 duka la Airtel haohao pale Mlimani city..
Nikaambiwa hii simu ni "Water proof" ndio kilichonivutia...
Nikafika nyumbani baada ya setings zangu nikadumbukiza kwenye maji kuitest..
Hazijaisha sek10 ikazima..
Nikarudi Airtel nawaambia How come mmeniambia simu ni water proof nimeiweka kwenye bakuli la maji. Ikazima..
Eti wakaanza kuniuliza "kwanini uliweka kwenye maji.?hii ni version ya dubai haina water proof"..
nikawaambia wanbadilishie wakagoma katakata..
Wakasema labda wanitengenezee kwa gharama zangu Tsh50000 kwa fundi wao..
Nikakubali..walipomaliza kutengeneza wakanipa niikague nikaichukua nikaanza kuondoka kakanikimbilia ka kahaba kamoja mpka mlangoni.mkwara niliompa nahisi haji kunisahau..
Diiiih!! Jombaa ulitisha, si kwa majaribio hayo!!
 
Kuna watu wengi wanangojwa..(professionals) mfano. Doctors, Teachers n.k..na hawaringiringi...lakini ukija kwa hawa ambao wao ndio wanangoja watu kama bank tellers, customer care n.k (waiters &waitresses excepted) wana nyodo kinyama.
 
Kuna watu wengi wanangojwa..(professionals) mfano. Doctors, Teachers n.k..na hawaringiringi...lakini ukija kwa hawa ambao wao ndio wanangoja watu kama bank tellers, customer care n.k (waiters &waitresses excepted) wana nyodo kinyama.
Airtel wapumbavu sana ,nadhani kwa kampuni za simu zenye huduma mbovu lazima watakuwa namba moja,ukiunganisha kifurushi halafu ukipiga ,unaambiwa huna salio ila ukiangalia dakika na sms unaziona,
Ukipiga huduma kwa wateja matangazo mpaka kero halafu wanakata simu,au wakipokea wanaongea pumba tofauti na ulichowauliza, yaani wahudumu wao watakuwa wamewatoa zama za mawe.
Ni zaidi ya kero, kama vp wafungiwe tu maana wamekuwa feki .
 
hata ktk usafiri,ile ukifika stand unabembelezwa vby sn.ukshapanda gari yao na umetoa nauli tyr basi utahangaika sn kusikilizwa km una dharula.MF umebanwa haja.
 
Back
Top Bottom