Dj Composer
Member
- Apr 3, 2019
- 24
- 43
WENZANGU NAMIMI NI KWELI TUNAKUTANA JAMIIFORUMS BILA KUJUA VITENGO VYA WATU NA WADHIFA WALIO NAO, NA WENGINE WANAINGIA KAMA UWAGENI WASIO NA USAJILI
Nimeamua kuwadokeza suala hili kwa kina kuna mchezo mchafu wa kukwepa kodi kwenye magari yanayoingizwa nchini kwa kucheza na mipaka ya nchi kuna member wawili hapa tumeshashirikiana katika hili, na kubaini mchezo mzima wa jinsi jama na wanaohusika wote wanavyocheza mchezo mchafu
1.Kuanzia kufoji BIMA za magari
2.Usajili wa magari wanabandika plate number tu bila kufuata usajili kamili hivyo existence of two cars in the road with the same numbers while kwenye system moja ndo imesajiliwa( wanaweka tu plate number) japo kwa siku za hapa karibuni nimeona wanaowasajilia wote wanakuwa na mtihani wa kuyatumia magari mchana kwenye maeneo ambayo kuna ukaguzi wa hatari
3.Wanakwepa kodi ya magari kupitia mipaka ya nchi, Kwa mchezo wao huo
Tumepata mawasiliano yao na watu ambao wameshafanya biashara hiyo fake kwa muda mrefu, tumeweza kunyonya kwenye database yao ya mawasiliano na mzigo upo kwenye flash, na kingine hata magari yote waliyosajili kwa njia za ujanja yako hadharani hakuna kificho tena,
4.Tumepata mawasiliano ya watu wanaomdai pia ambao kawadhulumu kupitia kuwaaminisha angewasajilia magari kwa njia rahisi, hivyo mkono wa sheria lazima uwakumbe wote hao,
Jumatatu tunaanza kuyakamilisha baadhi ya majalada na kuweka mambo sawa,
Mimi Composer
NI MCHEZO MCHAFU SANA
Nimeamua kuwadokeza suala hili kwa kina kuna mchezo mchafu wa kukwepa kodi kwenye magari yanayoingizwa nchini kwa kucheza na mipaka ya nchi kuna member wawili hapa tumeshashirikiana katika hili, na kubaini mchezo mzima wa jinsi jama na wanaohusika wote wanavyocheza mchezo mchafu
1.Kuanzia kufoji BIMA za magari
2.Usajili wa magari wanabandika plate number tu bila kufuata usajili kamili hivyo existence of two cars in the road with the same numbers while kwenye system moja ndo imesajiliwa( wanaweka tu plate number) japo kwa siku za hapa karibuni nimeona wanaowasajilia wote wanakuwa na mtihani wa kuyatumia magari mchana kwenye maeneo ambayo kuna ukaguzi wa hatari
3.Wanakwepa kodi ya magari kupitia mipaka ya nchi, Kwa mchezo wao huo
Tumepata mawasiliano yao na watu ambao wameshafanya biashara hiyo fake kwa muda mrefu, tumeweza kunyonya kwenye database yao ya mawasiliano na mzigo upo kwenye flash, na kingine hata magari yote waliyosajili kwa njia za ujanja yako hadharani hakuna kificho tena,
4.Tumepata mawasiliano ya watu wanaomdai pia ambao kawadhulumu kupitia kuwaaminisha angewasajilia magari kwa njia rahisi, hivyo mkono wa sheria lazima uwakumbe wote hao,
Jumatatu tunaanza kuyakamilisha baadhi ya majalada na kuweka mambo sawa,
Mimi Composer
NI MCHEZO MCHAFU SANA