Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Hili neno stars limetoka wapi,au kwa shehe yahaya
Kwanza naliona kama vile linagundu, za naidi ya hapo..haliwakilishi utaifa wetu..historia ya taifa latu inauhusiano gani na nyota?? nani alifikia uamuzi wa kuipa timu yetu jina la taifa stars...angalia majina ya timu za taifa za nchi nyingine...walau yanaleta maana..England " the three lions", Italia " The Azzuri" France " Les Blues" , Ivory Coast " The Elephants" ,Algeria " Atlas Lions" na kadhalika na kadhalika, nadhani umefika wakati muafaka wa kuwa na jina jipya la timu yetu ya taifa , jina ambalo kwa kiasi flani litawakilisha uhalisia wa taifa letu na historia yake..pamoj ana maliasili tulizo nazo mfano hili " The Tanzanites" naona litazidi kuitangaza nchi yetu kama sehemu pekee hapa Duniani ambapo madini haya hupatikana...Naomba kuwasilisha...