Mzee anataka kumsalimia mzungu lakini naona mzungu hana mpango.
Huyo dada mwenye shati jeusi na miwani katulia!
Mke wa mtu huyo mkuu....
Mke wa mtu huyo mkuu....
Huyo dada mwenye shati jeusi na miwani katulia!
Acha zako nduguKwa haraka haraka nshajua umri wako. Shikamoo.
Mzee anataka kumsalimia mzungu lakini naona mzungu hana mpango.
Kwa haraka haraka nshajua umri wako. Shikamoo.
Mke wa mtu huyo mkuu....
Huyo dada mwenye shati jeusi na miwani katulia!
ngoja nikupe namba zake
Ni wa pale ofisn kwetu njoo utamuona hajaolewa ila ana date na muhnd mmoja hvNzi kufia kwenye Kidonda.... lazima tugawane naye huyo mwenye mali maana hawezi kufaidi peke yake.
Hizo Hips zinaashiria moja tu, nyuma kumejaa NEEMA za Shehe wetu kiongozi Mpenda Mizigo mizito....
Mhhh, kenye RED, kamekoaa hadi Wapare wanasema KATHEE...
Tatizo ni upigaji wa Picha kama ilikuwa ni tukio la kupeana mkono mpiga picha amelikosa, amepiga kabla halijakamilika. Pia kama ilikuwa wanakaribishana kwenye hiyo meza ili wachukue, au mmoja aanze kuchukua kilichopo, pia mpiga picha amelikosa tukio hilo, maana hapo kuna meza na imesheheni "vyakula", maji pia yakiwepo, hawawezi kutoka meza kuu waje kusalimiana hapo chini !!! Ni maoni yangu plse.
NI KWELI KOSA NI LA MPIGA PICHA,ALIKOSEA "TIMING",MAKOSA YAKE YAMELETA TAFSIRI TOFAUTI.