Mnaonaje hii picha.

kingfish

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
571
159
Mzee anataka kumsalimia mzungu lakini naona mzungu hana mpango.
 

Attachments

  • BL.jpg
    BL.jpg
    45.4 KB · Views: 1,212
Nzi kufia kwenye Kidonda.... lazima tugawane naye huyo mwenye mali maana hawezi kufaidi peke yake.

Hizo Hips zinaashiria moja tu, nyuma kumejaa NEEMA za Shehe wetu kiongozi Mpenda Mizigo mizito....

Mhhh, kenye RED, kamekoaa hadi Wapare wanasema KATHEE...

attachment.php

Mke wa mtu huyo mkuu....
 
Tatizo ni upigaji wa Picha kama ilikuwa ni tukio la kupeana mkono mpiga picha amelikosa, amepiga kabla halijakamilika. Pia kama ilikuwa wanakaribishana kwenye hiyo meza ili wachukue, au mmoja aanze kuchukua kilichopo, pia mpiga picha amelikosa tukio hilo, maana hapo kuna meza na imesheheni "vyakula", maji pia yakiwepo, hawawezi kutoka meza kuu waje kusalimiana hapo chini !!! Ni maoni yangu plse.
 
Nzi kufia kwenye Kidonda.... lazima tugawane naye huyo mwenye mali maana hawezi kufaidi peke yake.

Hizo Hips zinaashiria moja tu, nyuma kumejaa NEEMA za Shehe wetu kiongozi Mpenda Mizigo mizito....

Mhhh, kenye RED, kamekoaa hadi Wapare wanasema KATHEE...

attachment.php
Ni wa pale ofisn kwetu njoo utamuona hajaolewa ila ana date na muhnd mmoja hv
 
Tatizo ni upigaji wa Picha kama ilikuwa ni tukio la kupeana mkono mpiga picha amelikosa, amepiga kabla halijakamilika. Pia kama ilikuwa wanakaribishana kwenye hiyo meza ili wachukue, au mmoja aanze kuchukua kilichopo, pia mpiga picha amelikosa tukio hilo, maana hapo kuna meza na imesheheni "vyakula", maji pia yakiwepo, hawawezi kutoka meza kuu waje kusalimiana hapo chini !!! Ni maoni yangu plse.
NI KWELI KOSA NI LA MPIGA PICHA,ALIKOSEA "TIMING",MAKOSA YAKE YAMELETA TAFSIRI TOFAUTI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom