KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Wasira hana usafi wowote mkuu, namsubiri wamlete hadhari alafu nijitoe muhanga kumuuliza usoni mwake ushiriki wake wa kula pesa za economic stimulus kupitia kampuni ya hawara wake Gati Insurance Brokers.
Huyu mtu ni fisadi papa kama wengine ndani ya CCM.
Mkuu Sangarara umenikumbusha uliposema Gati Insurance moyo ukapiga Paaaa! Mzee Ndege...... kama ilivyo wewe na mimi nitaomba kumuuliza swali Wasira eti Bonde la mto rufiji limeanzia wapi? kila ni kikumbuka hili naishiwa nguvu kabisa