jk anafanya kitendo ambacho amelazimishwa kukifanya na siyo kwa hiyari kitendo chake cha kuvunja
baraza la mawaziri ni cha lazima kulikuwa hakuna namna yeyote kama kifo hakuna namna ya kukwepa.
hongera zitto na wenzako.
Rais ndio alikuwa wa kwanza kupokea ripoti ya CAG kama sikosei wiki kadhaa kabla ya bunge je alifanyia kazi
ripoti jawabu tunalifahamu aliichukua akaitupa kwy droo na kuanza trip za kwenda kutembelea maonyesho ya
ngombe brazil. wakina zitto ndio wamemtafunia kila kitu bungeni na sasa wanamlazimisha kumeza.
nitamsifu jk tu endapo atawafunga pingu mawaziri wote wabadhirifu kwa kuhujumu uchumi na kuwatia kwy karandiga na kuwaweka segerea huku wakisubiri uchunguzi wa kesi zao kukamilika kama wanavyofanyiwa watanzania wengine. kitu ambacho hana ubavu wa kukifanya kwani hata hayo mabadiliko bado anawaita wakina mukama waaprove mabadilko ili ajifiche nyuma yao ili kesho na keshokutwa aseme hata kamati ndio iliamua na siyo mimi. jk ni kiongozi
mmoja very weak na incompetent as well.
baraza la mawaziri ni cha lazima kulikuwa hakuna namna yeyote kama kifo hakuna namna ya kukwepa.
hongera zitto na wenzako.
Rais ndio alikuwa wa kwanza kupokea ripoti ya CAG kama sikosei wiki kadhaa kabla ya bunge je alifanyia kazi
ripoti jawabu tunalifahamu aliichukua akaitupa kwy droo na kuanza trip za kwenda kutembelea maonyesho ya
ngombe brazil. wakina zitto ndio wamemtafunia kila kitu bungeni na sasa wanamlazimisha kumeza.
nitamsifu jk tu endapo atawafunga pingu mawaziri wote wabadhirifu kwa kuhujumu uchumi na kuwatia kwy karandiga na kuwaweka segerea huku wakisubiri uchunguzi wa kesi zao kukamilika kama wanavyofanyiwa watanzania wengine. kitu ambacho hana ubavu wa kukifanya kwani hata hayo mabadiliko bado anawaita wakina mukama waaprove mabadilko ili ajifiche nyuma yao ili kesho na keshokutwa aseme hata kamati ndio iliamua na siyo mimi. jk ni kiongozi
mmoja very weak na incompetent as well.