mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,851
Kwaiyo Bwana dotto mpwa wa mwendazake una tu thibitishia kuwa wewe sio mrundi ni mtu Msumbiji!?Burundi ni Nchi tu hata wewe pengine ni kijana wangu sema tu makosa yangu nilikutelekeza!
Kwaiyo Bwana dotto mpwa wa mwendazake una tu thibitishia kuwa wewe sio mrundi ni mtu Msumbiji!?Burundi ni Nchi tu hata wewe pengine ni kijana wangu sema tu makosa yangu nilikutelekeza!
Huyu sio Mtanzania wa kuzaliwa hapa pengine kazaliwa na kukulia hko hko Burundi ama Msumbiji!Huyo ni mjukuu wa Michombero
Hili nikundi lililoingia tanzania baada ya uchaguzi wa 2015 kutoka burundi.Huyu sio Mtanzania wa kuzaliwa hapa pengine kazaliwa na kukulia hko hko Burundi ama Msumbiji!
Kabisa mkuu hawa sio wenzetu kabisa wana roho zenye sumu kali kuliko ya mambaHili nikundi lililoingia tanzania baada ya uchaguzi wa 2015 kutoka burundi.
Dotto Biteko ni fisadi na mwizi.Unajua Maadili ya Uandishi wewe? Unawaza tu jambo kichwani kwako basi unaandika tu? Ningemuona mwandishi mzuri kama angekuwa na vielelezo na sio majungu